Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nilipona Kwa maombi .Hayo majani nimeamua kuachana nayo,sbb kupata ni sio rahisi!
Nini kilikuponya? Majani,au mbegu ya parachichi?
Hayo majani yanapatikana sana,hasa wakati huu wa mvua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipona Kwa maombi .Hayo majani nimeamua kuachana nayo,sbb kupata ni sio rahisi!
Nini kilikuponya? Majani,au mbegu ya parachichi?
Dear ni artificial medicineDuh
Walikuwa dawa gani,au za asili?
Duh!Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Yaani ndugu nilileta picha kuna Uzi unaelezea haya majaniNilipona Kwa maombi .
Hayo majani yanapatikana sana,hasa wakati huu wa mvua.
Ni wa Asia?Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
YupNi wa Asia?
Hicho kituo chao kinaitwaje?Yup
Wakorea
Ni muda sana maana nimeenda ilikuwa 2012Hicho kituo chao kinaitwaje?
Shukuran, Dada.Ni muda sana maana nimeenda ilikuwa 2012
Walikuwa Ubungo pale kituo cha garage sina uhakika kama wapo bado ila wana huduma nzuri sana .
Yatumie mama.Yaani ndugu nilileta picha kuna Uzi unaelezea haya majani
Wengine wanasema ndio yenyewe,wengine wanasema sio!
Ss nilichoamua ni kujaribu tu kutumia njia nyingine nione.
Kumbe kwa maombi!.
Acha tu niendelee kuomba!
Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna VIDONDA Wewe ni stresi ya Maisha tu Hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Janja janja nyingi sana, ofcn kwenu ndio wapi sasa pugu dampo au Vingunguti machinjioni au aje gamboshi?
Duuuuh poleeeeh kipenziiiih.Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Sikumbuki jina dear ..ilikua inaitwaje hosp
Sikumbuki jina dear ..ilikua inaitwaje hosp
Ooh thank youDuuuuh poleeeeh kipenziiiih.
Wasemaaaa?Gesi ni moja ya dalili ya vidonda vya tumbo
Christina ukiona ujumbe tuwasiliane pleaseeYaani ndugu nilileta picha kuna Uzi unaelezea haya majani
Wengine wanasema ndio yenyewe,wengine wanasema sio!
Ss nilichoamua ni kujaribu tu kutumia njia nyingine nione.
Kumbe kwa maombi!.
Acha tu niendelee kuomba!