Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Duh!
Bora yako, mi bado napambana tu
 
Yaani ndugu nilileta picha kuna Uzi unaelezea haya majani
Wengine wanasema ndio yenyewe,wengine wanasema sio!

Ss nilichoamua ni kujaribu tu kutumia njia nyingine nione.

Kumbe kwa maombi!.
Acha tu niendelee kuomba!
Yatumie mama.
Yapo ya aina 2 tofauti.
 
Janja janja nyingi sana, ofcn kwenu ndio wapi sasa pugu dampo au Vingunguti machinjioni au aje gamboshi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Duuuuh poleeeeh kipenziiiih.
 
Back
Top Bottom