Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
hospital gani mkuuu
 
mkuuu tafazari nielekeze hospital uliyoenda
Pole sana kwa kuugulia na ulcers
Mimi na Mama yangu tuliponea hapo kwa wakorea Ubungo kituo cha garage .
Muda mrefu sana umepita takribani 10 .
Waweza tafuta hospital ya Aina hii ukapata Tiba zao .
All the best
 
Dear ni artificial medicine
Wanchomeka visindano tumboni Kama sita on each sides ..vinauma hivyo wanaacha for like 10 minutes wanatoa ila nimepona kabisa ulcers
Wapi hapo?km mnataka kumsaidia mtu ni bora kuweka info zote muhimu ili mtu afuatile but info nusu haimsadii mtu
 
Wapi hapo?km mnataka kumsaidia mtu ni bora kuweka info zote muhimu ili mtu afuatile but info nusu haimsadii mtu
Hapo nilikuwa namjibu swali lake
Nishaelekeza hapo juu
 
Inaweza kupelekea kupata concer ya utumbo na kufanyiwa upasuaji nk.
Kwa msaada zaidi wasiliana nasi Gombeyehealthcare kwa namba
+255 678 211 747
+255 733 482 038
Tunapatikana Dar es salaam ILALA.

Umepiga mikwara ili utafutwe sio!?
 
Duh,upngo wake nn ss?
Yaani apone yeye,ubishe wewe?[emoji848]bongo noma
Linabishia hadi kupona kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi aseme yeye kilichoniponya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…