Vipi wewe uliponea nn tusaidie na sisiPole sana aisee jamani vidonda vya tumbo vinatesa mnoo yan bora hata sijui nisema ugonjwa gani kuliko vidonda vya tumbo[emoji26][emoji1487]
Hao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapoPole sana
nenda kwa wakorea , kupona ni uhakika .
Mahali nilipoenda ni Ubungo garage ila ni miaka mingi imepita inawezekana wamehama pale .
WakoreaHao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapo
Hao wakorwa walikuwa wajiitaje hospital yao niwatafte waliko nikiwakosa hapo