Msaada: Huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake?

Nenda hospital upimwe kuna aina nyingi za magonjwa ya ngono na mengi dalili hufanana usitumie dawa bila vipimo sahihi

Ikiwa ni pangusa na ukatumia dawa za kaswende utapata nafuu kwa muda then inarudi kwa kasi ya 5G so nenda hospital upimwe

Pole sana k tamu ila kiganja kina utamu zaidi
 
Walamba koni sasa,. KAZI wanayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…