Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Maombi ni muhimu sanawazee wa dry chama kazi mnayo, unatoa pesa bado unapewa pakej za kutosha juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maombi ni muhimu sanawazee wa dry chama kazi mnayo, unatoa pesa bado unapewa pakej za kutosha juu
hapana, wananitukana sana mie mzee wa nyeto, subiri waipatepate freshMaombi ni muhimu sana
Usalama utatoka wapi sasa hapo!!Hahahha nataka kuhakikisha “ndugu yetu”anakuwa salama.
Usifanye mtoa mada akaenda kujiua akisikia hivyoameungwa vifurushi viwili kwa pamoja
kaswende na lile kubwa
mie niliye nyetoni napeta
Kwani akienda nazo hatapata tiba😀Na huyo ndugu yetu ni wewe.
Nenda hospital mkuu, pia ukate hizo kucha kabla haujaenda.
Nyeto mbaya Sana, Acha kabisa hii kituhapana, wananitukana sana mie mzee wa nyeto, subiri waipatepate fresh
hahahaha, nataka mtoa mada aseme hii nimsikieNyeto mbaya Sana, Acha kabisa hii kitu
Mbona ana kibamia hivi?
Kwahiyo, hapa kuhusu KATAA NDOA unasemaje?K tamu kuliko mkono eeh
Njoo pm,dawa ipo,haizidi hata shs 10,000 na ndani ya siku 3 ataona matokeoNianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani.....?
View attachment 2933427