Muramwaito
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 309
- 620
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa mtindo huu bora kujichukulia sheria mkononi mwako. Hakuna magonjwa, kuombwa hela ya nauli wala kusalitiwa.
Gharama yako 1500 ya mafuta ya nazi tu 😂 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa mtindo huu bora kujichukulia sheria mkononi mwako. Hakuna magonjwa, kuombwa hela ya nauli wala kusalitiwa.
Gharama yako 1500 ya mafuta ya nazi tu 😂 😂 😂
Syphilis aka kaswende nenda hospital kama hali haijawaha mbaya ni Syphilis....Nianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani?
View attachment 2933427
katibu mwenezi vipi kikao lini au mwenyekiti Liverpool VPN ameenda kwenye kikao cha kimataifa.hapana, wananitukana sana mie mzee wa nyeto, subiri waipatepate fresh
Vidonda vya Kaswende pia huwa inapona yenyewe but inahamia viungo vya ndani kama Moyo, ini n.k so ni Bora upate matibabu sahihiHizo ni faghasi mkuu,na uwa zinatokeaga kama ukifanya ngono na mwanamke ambae yupo hedhini,hapo kapate dawa pia uwaga zinakaukaga zenyewe maana kuna kipindi wakati napenda ngono kama miaka 6 iliyopita mimi ilikauka zenyewe maana ninagroup o hila kama unadamu changa nenda ukachome sindano hizo ni faghasi
Kaka hawaelewii, naona tuna ma stress ya maisha na humu ndo sehem ya ku vent.. me nimeanza kusoma kwa u serious kabisa ila comment sasa zinachekesha utafanyaje, afya ya akili za wana jf ni kipengele 😂Pamoja na kutilia mkazo juu ya wachangiaji kuacha masihara kwenye hili ila bado watu wanaleta masihara ni huzuni kwa kweli.
Genital warts au genital herpesNianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani?
View attachment 2933427
But Huyo siyo govi doctor ametairiwa. Huo ugonjwa si unawapa zaidi magoviTukiacha hiyo picha Hapo juu..
Ana maumivu ya Viungo "Joint pain"?
Tatizo hilo amewahi kulipata?
Kabla aliwahi kupata Maumivu kwenye kukojoa?
Kwa sababu most Preffarably Impresion kwangu hii ni Balanitis circinata.
Tafuta BBE utapaka..
Kunywa Ivermectin Tabs 12mg Od kwa siku 5
Kunywa Azithromycin 500mg Od kwa siku 5
Na kama anawashwa sana Ajaribu kutumia..
Predinisolone 10mg Bd Kwa siku 5
Zingatia Usafi..
CC: miles45
Na limao au ndimuAweke pilipili ya unga
Shem nimefika 😂😂😂Ina mana Lamomy mpaka muda huu hajafika hapa?
Mbona ipo kawaida, unataka kama ya punda!Mbona ana kibamia hivi?
🤣🤣🤣🤣Kaswende iyo. Ukiiacha siku utakuta kidudu kimekatika.
🤣🤣🤣Mbona ipo kawaida, unataka kama ya punda!
Genital warts haipo ivo.. Vipele vyake vidogo sana.. Hafu uyo hali ishakua mbaya.. Yaani apo akipiga bao vinatoka viusaa.. Hosp watamlaza uyu.. Kaisha..Syphilis aka kaswende nenda hospital kama hali haijawaha mbaya ni Syphilis....
Kama nimekosea basi genital wart .....virus.....ila kaswende hiloooo likichanganya linaenda mdomoni linasambaaaa
We umeona kucha tuu...mwambie anyoe na mavuzi....Na huyo ndugu yetu ni wewe.
Nenda hospital mkuu, pia ukate hizo kucha kabla haujaenda.
Wanauza mechi kwa mademu wa Kitambaa.Mnatombaga wapi kupata haya madude.