Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
ππππWe umeona kucha tuu...mwambie anyoe na mavuzi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππWe umeona kucha tuu...mwambie anyoe na mavuzi....
[emoji23][emoji23][emoji23] JF ni hatariMbona hapo inaonekana imepigwa na simu yako?
Haya mpe pole huyo jamaa mkuu.
Kwamba anaweza pimwa na kupewa majibu ya uongo?!Nenda hospital mkuu...wakupime wakupe majibu sahihi
πππKaka hawaelewii, naona tuna ma stress ya maisha na humu ndo sehem ya ku vent.. me nimeanza kusoma kwa u serious kabisa ila comment sasa zinachekesha utafanyaje, afya ya akili za wana jf ni kipengele π
msaada kashapata , kwanza aende hospital first thing first
Ngoja na me nikazingue kwanza πββοΈπββοΈ
Kunogesha ladha mtelezo muhimuπOndoa hiyo 1500/= tumia free style (mtindo huru) haina gharama.
bora huo ugonjwa kuliko NdoaKwahiyo, hapa kuhusu KATAA NDOA unasemaje?
π π π mwandamizi ni mudrahkatibu mwenezi vipi kikao lini au mwenyekiti Liverpool VPN ameenda kwenye kikao cha kimataifa.
Hahaha nimekumbuka life la chuo ndo tunaanza mwaka wa kwanza mshkaj akapata pisi fulani ya chuga ukiichek kali kichiz ,mshkaji akataka kuonesha maufundi kama yote si akazama chumviniπππ kesho yake anaingia class mdomo umebabuka kama kamwagiwa maji ya motoDuuuu alaf unakuta uyo demu ni bonge la pisi...
Nime screenshots na kumtumia asante sana kwa msaada wako pia pongezi kubwa ziende kwako kwa kuwa na moyo huo wa kusaidia watu.....Na Mwenyezi Mungu akuzidishieTukiacha hiyo picha Hapo juu..
Ana maumivu ya Viungo "Joint pain"?
Tatizo hilo amewahi kulipata?
Kabla aliwahi kupata Maumivu kwenye kukojoa?
Kwa sababu most Preffarably Impresion kwangu hii ni Balanitis circinata.
Tafuta BBE utapaka..
Kunywa Ivermectin Tabs 12mg Od kwa siku 5
Kunywa Azithromycin 500mg Od kwa siku 5
Na kama anawashwa sana Ajaribu kutumia..
Predinisolone 10mg Bd Kwa siku 5
Zingatia Usafi..
CC: miles45
Haa Kucha Hizo Kwaajili Ya Kukuna Ikianza Kuchonyota (Kuwasha)Na huyo ndugu yetu ni wewe.
Nenda hospital mkuu, pia ukate hizo kucha kabla haujaenda.
Shukrani pia Chief tuko pamojaNime screenshots na kumtumia asante sana kwa msaada wako pia pongezi kubwa ziende kwako kwa kuwa na moyo huo wa kusaidia watu.....Na Mwenyezi Mungu akuzidishie
Kwa kucha hizo ni wazi wewe ni mtu usiyejijali hivyo ukipatacho ni haki yako.Nianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani?
View attachment 2933427
Alivyokuzamishia ndio umepata hayo majibu au kwa kuangalia tu?Mbona ana kibamia hivi?
Unataka leo asilale usingizi hata kidogo?π€£π€£Kaswende iyo. Ukiiacha siku utakuta kidudu kimekatika.
Umelihangaikia kinyama, limeoga na kupiga make up na manukato ya garama, wakati unalivua nguo za ndani nyeupeeee ! Zimefuliwa kumbe damu na katikati pamejaa waduduDuuuu alaf unakuta uyo demu ni bonge la pisi...