Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
akipona lazima achukue fomu chaputaK tamu kuliko mkono eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akipona lazima achukue fomu chaputaK tamu kuliko mkono eeh
Hapana, Japo kama ulivyosema most of pt ni wenye magovi..But Huyo siyo govi doctor ametairiwa. Huo ugonjwa si unawapa zaidi magovi
ohoo, haina maana tena, maana hawezichomoka gridiniakipona lazima achukue fomu chaputa
Vipi unapata uwasho katika mikono na mskalio.?Nianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani?
View attachment 2933427
Hiyo nhoma siyo ya 72hrs,ila waombe wakupe na dawa za PEP walau kukukinga kama utakuwa umepata na maambukizi ya HIV kama hayajapita masaa 72.
Basi jamaa akacheki kipimo kikubwa cha damu ili aanze dozi mapemaHiyo nhoma siyo ya 72hrs,
Hiyo ni zaidi ya 7 days!
Hii inaonekana kutoka kwa wale wa samaki samaki pale mlimaniShem nimefika 😂😂😂
Huyo kwanza mchafu halafu hajipendi, hivi umeona huo mkucha wake wa dole gumba mrefu kwa ndani km kuna usaha.!! Ptyuuuu!!
Huyu itakuwa ndio wale wanaojifanya kila tundu wanapita sasa kakutana nacho yy awahi dose 🤣🤣🤣🤣
Inaonekana mdau alikuwa kwenye harakati za kukitupa Cha mkono ila vidonda vimemkwamishaNa limao au ndimu
Kalaga baho na ubwenzi wako 🤣🤣🤣🤣Hii inaonekana kutoka kwa wale wa samaki samaki pale mlimani
Shemeji umenishinda 😂😂😂😂Inaonekana mdau alikuwa kwenye harakati za kukitupa Cha mkono ila vidonda vimemkwamisha
1. Kashavua kila kitu yupo juu ya godoro
2. Pili kashika simu. Hii inaashiria kuwa ilitakiwa kuwa nyenzo muhimu ya kuangalia video za ngono kupata stimu (Busta)
Hapo baad ya zoez kushindikana ndo ameona bora atafute suluhu kwa kurudi kwenye kamera na kupiga picha.
Nb: kupiga nyeto sio dhambi, tuendelee kujifukiza vijana pesa ngumu msihonge. Sabuni ya magadi 100, Dem 20,000 tunza kibunda chako
Hii mashine kwa usalama wako inatakiwa kukatwa kabisa!Nianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa.
Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo watu wa mzaha tutulie kidogo hii ni afya ya mtu.
Msaada unao hitajika hapa ni wa tiba na sio tumchangie ila anaomba kujua dawa ya huu ugonjwa au jina ni ugonjwa gani?
View attachment 2933427
Ubwenzi ❎Kalaga baho na ubwenzi wako 🤣🤣🤣🤣
Forensic fact haziwez kumuondoa kwenye hii assumption hapo. Kama anabisha abishe hapaShemeji umenishinda 😂😂😂😂
Kwahiyo alikuwa anataka kujichukulia sheria mkononi!!!
😂😂😂😂 inaonekana legend shemForensic fact haziwez kumuondoa kwenye hii assumption hapo. Kama anabisha abishe hapa
Akate na hizo kucha.Msaada wangu nenda hospital.
Kumbuka mshaara wa dhambi ni umauti.
Usisahau kupima na ukimwi