Msaada interview za Jeshi la Magereza

Hapo ndo wanapozingua sasa km.sio kuwasumbua watu ni ninunamuitaje MTU kweny usail wakt unajua hn sifa
Kaka hapo sio wamewasumbua ni mmesumbuana😂.

Sasa mtu kama unajijua huna sifa kwanini umeomba?
Sindo kuwasumbua huko?

Acha na wao wawasumbue😂😂
 
Kwahiyo barua ya mambo ya afya sio lazima eti?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
mkuu nakushauri Immigration na polis kote attach barua.coz uhamiaji wameweka barua kma nilazima, ila polis wame isemea tu kuwa upimwe na kuthibitishwa na daktari wa serikali kuwa una afya njema, swali utawa thibitisha vp kuwa umepimwa na doctor wa serikali ingali kwamba uja attach barua kwenye maombi ya kazi yao!
 
Nimekupata mkuu, hiyo barua hospital kuna gharama yyt?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…