Kaka hapo sio wamewasumbua ni mmesumbuana😂.Hapo ndo wanapozingua sasa km.sio kuwasumbua watu ni ninunamuitaje MTU kweny usail wakt unajua hn sifa
Iyo inaweza kupelekwa kwa mkono sawa.. ila inapelekwa under authority.Madhara ya Ems,View attachment 2445962
NotedIyo inaweza kupelekwa kwa mkono sawa.. ila inapelekwa under authority.
Tofauti na upeleke wewe kwa mkono privately.
[emoji3][emoji3][emoji3] Nipo ndugu zangu.. TunapambanaKaka upo kimya sana, unakula asali tu [emoji2][emoji2]
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Nipo mzee baba...... Nilipigwa bogi Gereza moja la Kilimo huku ndichi kazi kazi, tuko pamojadean05 upo wapi saivi,uzi umeususa [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Moja ya maswali ni je utaogopa kumuambia mfungwa afungue matako yake kwa ajili ya ukaguzi wa kuzuia wafungwa kuingia na vitu gerezani
Mtaenda pimwa huko kwenye usaili kuthibitisha afya zenubut uta wa prove vipi kama umepimwa na daktari wa serikali mkuu ?
EMS umetuma kwa bei gani mkuu?Mimi nimetuma kwa EMS .kuondoa utata nimetrack mzigo uko delivered
15 elfu mkuuEMS umetuma kwa bei gani mkuu?
Kwahiyo barua ya mambo ya afya sio lazima eti?15 elfu mkuu
mkuu nakushauri Immigration na polis kote attach barua.coz uhamiaji wameweka barua kma nilazima, ila polis wame isemea tu kuwa upimwe na kuthibitishwa na daktari wa serikali kuwa una afya njema, swali utawa thibitisha vp kuwa umepimwa na doctor wa serikali ingali kwamba uja attach barua kwenye maombi ya kazi yao!
Nimekupata mkuu, hiyo barua hospital kuna gharama yyt?mkuu nakushauri Immigration na polis kote attach barua.coz uhamiaji wameweka barua kma nilazima, ila polis wame isemea tu kuwa upimwe na kuthibitishwa na daktari wa serikali kuwa una afya njema, swali utawa thibitisha vp kuwa umepimwa na doctor wa serikali ingali kwamba uja attach barua kwenye maombi ya kazi yao!
mm kuipata imenitoka 12 elfu.Nimekupata mkuu, hiyo barua hospital kuna gharama yyt?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duuuh aiseh umeupiga mwingi ndugu yangu, hapo plus kutuma plus passpot, plus copy na kucertify kisha eti jina lisirud Bongo kugumu sana Mungu atusaidiemm kuipata imenitoka 12 elfu.
kuna washkaji wnatoa online copy jaribu kuwacheki kwenye magrup ya telegram na whatsapWadau nina shida na nakala ya kadi ya nida
Namba ya nida ninayo
so poa man .kote tupo utumishi tunaweka ndoano na huku tunaweka pia atakaye fungua mlango wa ridhiki ni Mungu pekeeDuuuh aiseh umeupiga mwingi ndugu yangu, hapo plus kutuma plus passpot, plus copy na kucertify kisha eti jina lisirud Bongo kugumu sana Mungu atusaidie
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kabisa kk me huwa naamn mtu unapothubutu ndio baraka zinakuja, Wakati wa mungu ndio sahihi.so poa man .kote tupo utumishi tunaweka ndoano na huku tunaweka pia atakaye fungua mlango wa ridhiki ni Mungu pekee