Kegenya
Member
- Apr 24, 2020
- 22
- 15
Kaka hapo sio wamewasumbua ni mmesumbuana😂.Hapo ndo wanapozingua sasa km.sio kuwasumbua watu ni ninunamuitaje MTU kweny usail wakt unajua hn sifa
Sasa mtu kama unajijua huna sifa kwanini umeomba?
Sindo kuwasumbua huko?
Acha na wao wawasumbue😂😂