Uenda uliowauliza hawana mifumo ,, maana ili ni jwtz la wananchi ,,ss kwa kigezo gaani wasichukue waliopo mtaani ?? Wakt kuna watu wapo mtaani wanamifumo yao wanaweza kuondoka kwa msg toka uraiani kurport rts ,baada ya hawa wajenzi kufika msata , .....yaani bhna haya mambo haya sio poaHaipo na haiwezikuwepo.....kwanza kwa hata ukiwauliza askari walio vikosini wengine ni Officer kabisa lakini wanasema ajira kuchukuliwa uraiani jw mwaka huu hawajui...
Ko probably hao walioenda RTS ndio haohao hakuna wengine
Uenda uliowauliza hawana mifumo ,, maana ili ni jwtz la wananchi ,,ss kwa kigezo gaani wasichukue waliopo mtaani ?? Wakt kuna watu wapo mtaani wanamifumo yao wanaweza kuondoka kwa msg toka uraiani kurport rts ,baada ya hawa wajenzi kufika msata , .....yaani bhna haya mambo haya sio poa
Mmmh ngoja tuone ,,ka itatoka uraini maana wanajeshi wanabadilika badilika hawaNilikosea kk ila nimeshapata info confirmed kabisaaaa za ndaniiii yaaan within this 2 weeks jw wanatoa uraiani.... let’s wait.
Mmmh ngoja tuone ,,ka itatoka uraini maana wanajeshi wanabadilika badilika hawa
Aiseee wamesha hapa huko, watu wako 118, 56 wabobez wa maswala ya ufundi ndege na nkYaaaan hio lonja ni ya uhakika kabisaaa yaan from the chamber mzeeee.....
WAJUBA TUANDAENII NGUVUU
Though ushindani ni mkubwa sana na cheti cha jkt ni MAIN CRITERIA[emoji2363][emoji2363][emoji2363]
Hii ndo Magereza walikuwa wanaingoja , ili wapate watu wengi wa kucompete .Aiseee wamesha hapa huko, watu wako 118, 56 wabobez wa maswala ya ufundi ndege na nk
Hii ndo Magereza walikuwa wanaingoja , ili wapate watu wengi wa kucompete .
Hawa ni wenye degree orMambo ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] zimamoto [emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 2019574
View attachment 2019575
View attachment 2019576
Hawa ni wenye degree or
Oy mbona hili Ni kundi la nne? Mwenye full mkeka wa makundi yote atume Basi tuache unaaa.Hawa ni wenye degree or
Oy mbona hili Ni kundi la nne? Mwenye full mkeka wa makundi yote atume Basi tuache unaaa.
Ko na sie wengine tulituma wapi Sasa,mbona majina yetu hayapo au ndo bahasha zetu zimechomwa Moto[emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣 Hawa zimamoto wanafeli Sana ko muda wote huo walikuwa wanasubili nn Sasa Kama sio kuweka ndugu zao humo.Hahaha kama jina lako halipo kama mimi ndio baaasi tena HAIKUWA RIZQ
Hawa watu wamechukua wale wa kujitolea sizani Kama mujibu yupo humo
Tatizo ni kwamba huwezi ukajua yupo ni mujibu na yupi ni wakujitolea kwenye hio list...
Nazan...Hawa watu wamechukua wale wa kujitolea sizani Kama mujibu yupo humo