Msaada interview za Jeshi la Magereza

Haipo na haiwezikuwepo.....kwanza kwa hata ukiwauliza askari walio vikosini wengine ni Officer kabisa lakini wanasema ajira kuchukuliwa uraiani jw mwaka huu hawajui...

Ko probably hao walioenda RTS ndio haohao hakuna wengine
Uenda uliowauliza hawana mifumo ,, maana ili ni jwtz la wananchi ,,ss kwa kigezo gaani wasichukue waliopo mtaani ?? Wakt kuna watu wapo mtaani wanamifumo yao wanaweza kuondoka kwa msg toka uraiani kurport rts ,baada ya hawa wajenzi kufika msata , .....yaani bhna haya mambo haya sio poa
 

Nilikosea kk ila nimeshapata info confirmed kabisaaaa za ndaniiii yaaan within this 2 weeks jw wanatoa uraiani.... let’s wait.
 
Nilikosea kk ila nimeshapata info confirmed kabisaaaa za ndaniiii yaaan within this 2 weeks jw wanatoa uraiani.... let’s wait.
Mmmh ngoja tuone ,,ka itatoka uraini maana wanajeshi wanabadilika badilika hawa
 
Mmmh ngoja tuone ,,ka itatoka uraini maana wanajeshi wanabadilika badilika hawa

Yaaaan hio lonja ni ya uhakika kabisaaa yaan from the chamber mzeeee.....

WAJUBA TUANDAENII NGUVUU

Though ushindani ni mkubwa sana na cheti cha jkt ni MAIN CRITERIA[emoji2363][emoji2363][emoji2363]
 
Yaaaan hio lonja ni ya uhakika kabisaaa yaan from the chamber mzeeee.....

WAJUBA TUANDAENII NGUVUU

Though ushindani ni mkubwa sana na cheti cha jkt ni MAIN CRITERIA[emoji2363][emoji2363][emoji2363]
Aiseee wamesha hapa huko, watu wako 118, 56 wabobez wa maswala ya ufundi ndege na nk
 
Mambo ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] zimamoto [emoji1313][emoji1313][emoji1313]

 
Ko na sie wengine tulituma wapi Sasa,mbona majina yetu hayapo au ndo bahasha zetu zimechomwa Moto🤣🤣
 
Ko na sie wengine tulituma wapi Sasa,mbona majina yetu hayapo au ndo bahasha zetu zimechomwa Moto[emoji1787][emoji1787]

Hahaha kama jina lako halipo kama mimi ndio baaasi tena HAIKUWA RIZQ
 
Tatizo ni kwamba huwezi ukajua yupo ni mujibu na yupi ni wakujitolea kwenye hio list...

Ila magereza ndio watafanya unaa yaaan magereza wengi watachukuliwa wale waliokua wanajitolea walee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…