Msaada interview za Jeshi la Magereza

Yan kitendo cha kufika getini usiwe na simu......

Kwa tetesi nlizopata wanadai kule chuo cha polisi moshi hadi laini wakikukuta ni shida (japo sina uhakika na hilo )
Sawasawa mzee nimekuelewa vizuri Sana... nashukuru 🙏🏾
 

Umeelezea vyema....[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Dah mbona mateso
 
Dah mbona mateso
Anza kutembea kwa ngumi kwenye mchanga kabla hujatembea kwa ngumi kwenye rafu ya uwanja wa damu ili uchubuke, utoke damu, vidonda vipone na kuwa sugu kutengeneza mikono yenye nguvu, nakoz na ngumi jiwe
 
Anza kutembea kwa ngumi kwenye mchanga kabla hujatembea kwa ngumi kwenye rafu ya uwanja wa damu ili uchubuke, utoke damu, vidonda vipone na kuwa sugu kutengeneza mikono yenye nguvu, nakoz na ngumi jiwe

Noma sana aisee...
 
Kuishi bila simu au mawasiliano dunia ya Sasa ni ngumu mno
Hatakama ukiwa nayo depo, hutapata muda wa kuishika wala kuitamani. Ukipata free time unakoroma iwe barabarani au hata chooni kabla filimbi haijalia au bigula
 
Anza kutembea kwa ngumi kwenye mchanga kabla hujatembea kwa ngumi kwenye rafu ya uwanja wa damu ili uchubuke, utoke damu, vidonda vipone na kuwa sugu kutengeneza mikono yenye nguvu, nakoz na ngumi jiwe
😃😃Vijana🙌🏼🙌🏼🙌🏼hatari
 
week inayoanza jtatu tar20 tuombe mungu kwa mkeka wa magereza wanaweza wakatoa
 
Wakuu mmemsikia waziri wa mambo ya ndan jana kuhusu Jeshi la magereza kuitaj askar zaid ya kuliko idadi iliyotajwa ya Askar 700 kwan wengi waliokuwepo Wamepandishwa vyeo ivyo Askar wa kushinda na wafungwa magengeni shamban wamepungua saaaaana na isitoshe wengi wanaacha kwan wanasema kukaa na wafungwa mashamban na kuwalinda haina tofaut na askar nae kuwa kama mfungwa tu ivyo Watu wengi mwanzo kabla hawajaajiriwa wanakuwa na mawazo tofaut kuhusu kuwa askar magereza ila baada ya kupata kazi nakuona kaz ilivyo wanakuwa hawaipendi kazi tena.
Ivyo wanataka kuongea na Rais waone kama wataweza kuwaajir hata darasa la 7 na kama unamafunzo ya mgambo Kama Rais atakubal kwan form 4 nao Wamekuwa Morali na kazi wakifka kazn hawana tena....
 
Anza kutembea kwa ngumi kwenye mchanga kabla hujatembea kwa ngumi kwenye rafu ya uwanja wa damu ili uchubuke, utoke damu, vidonda vipone na kuwa sugu kutengeneza mikono yenye nguvu, nakoz na ngumi jiwe
Mbona ni mateso sana haya mambo aisee, Yani nitembee kwenye rafu Ili nichubuke ndio nionekane mkakamavu
 
Hatakama ukiwa nayo depo, hutapata muda wa kuishika wala kuitamani. Ukipata free time unakoroma iwe barabarani au hata chooni kabla filimbi haijalia au bigula
Hivi huko kumbe huwa Kuna mazoezi makali kiasi hicho, kwahyo hata mda wa kulala ni mdogo na kuamshwa kwa filimbi?
Ukiwa mtoto wa mama utajua hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…