Fafanua mambo, all the best kuhusu nini.Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum
Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini
All the best wadau [emoji120][emoji120]
Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum
Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini
All the best wadau [emoji120][emoji120]
Tunazidi kupungua huku mkuu wengi wameeshaenda kozi ,na magereza wakija wanazidi kuwapunguza hadi inafika uhamiaji hakuna watu humuMBONA HUU UZI UMEPOA SANA WADAU.?? HAKUNA LONJA WALA CHOCHOTE.,,
Tunazidi kupungua huku mkuu wengi wameeshaenda kozi ,na magereza wakija wanazidi kuwapunguza hadi inafika uhamiaji hakuna watu humu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha uongoOya naskia magereza wametoa mkeka hukoo [emoji860][emoji860]
Kama hauna real information ni bora uchil tu mkuuOya naskia magereza wametoa mkeka hukoo [emoji860][emoji860]
We acha tu aisee .Sema magereza nao wanafeli sana yan hadi leo kimya duh
Jamaa anashtua watuAcha uongo
Watu wapo kozi [emoji2] tumebak wachacheKunguru wa Manzese huu uzi vipi mzee mbona umepwaya hivi sio kama ule wa polisi kipindi kile mkuu
Humu shida nini mzee [emoji16][emoji16]
Jamaa boya sana [emoji1787]Aisee ni kweli unaona wengine wanatoroka huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2076408
Wanayumba sana ,sijui na hawa uhamiaji watachelewaSema Magereza nao wameyumba aisee au wewe unaonaje maana naona kama huu uzi tumebaki sisi tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wanayumba sana ,sijui na hawa uhamiaji watachelewa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app