Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum

Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini


All the best wadau [emoji120][emoji120]
Fafanua mambo, all the best kuhusu nini.
 
Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum

Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini


All the best wadau [emoji120][emoji120]

wewe jamaa nakuombea sana kwa mungu aisee akufanyie wepesi ufike mbali zaidi ukalete mabadiliko kwenye jeshi letu la magereza

UPO VIZURII MKUU,I APPRECIATE YOU[emoji1320][emoji1320]
 
IMG_5493.jpg

Mwamba wa magereza amerelax palee hana habar kabisa duuh
 
Tar 10 leo holaaa duuh [emoji2363][emoji2363][emoji2363]

Ngoja tuone kesho tarehe 11 mkeka unaweza ukatoka mungu akipenda
 
Sema Magereza nao wameyumba aisee au wewe unaonaje maana naona kama huu uzi tumebaki sisi tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom