Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Huu uzi sema wakati unaanza kulikuwa kuna watu wengi sana kwahyo taarifa na lonja za kila eneo ilikuwa ni uhakika kupataSina kaka
Halafu kilimo unachokizungumzia cha kututoa tupige hatua kinaitaji uwekezaji aka mpunga aka capitalVijana komaeni kwenye kilimo!! Mashamba ya wazee yapo tele kijijini halafu mnayatelekeza na kikimbilia mjini!
Kabisa tumebaki wachache sanaHuu uzi sema wakati unaanza kulikuwa kuna watu wengi sana kwahyo taarifa na lonja za kila eneo ilikuwa ni uhakika kupata
Ila sema ndio hivyo wamekatwa mabogi ndio wanamalizia Kiwira wengine wako ccp tanpol wengine uhamiaji tanga yaani inshort tumebaki wachache sana so ni ngumu kujua
Au kama kuna mtu anaishi karibu na gereza ulioombea nafasi muulize kama aliona vijana wengi na mabahasha au mabegi au askari magereza unaemjua muulize kama waliitwa watu ilo eneo
Hata ofisi ya mkuu wilaya
Kama jibu ni hapana ,hawajaona ,au sijui basi either bado zamu yenu hivyo inabidi usubiri
Alafu Safari hii Walitaka watu 11 kwa mujibu wa maelekezo yao tulikuwa zaidi ya 103Kwanzia 4 point 28 hadi 32
nafasi ni 1200 na chenchi kadhaa mikoa ipo 30 ina maana hapo kila mkoa na wilaya zake ukigawanya ni watu 40 na kadhaaAlafu Safari hii Walitaka watu 11 kwa mujibu wa maelekezo yao tulikuwa zaidi ya 103
Daah sema kuna watu wana bahati hao wazazi wao walibarikiwa wapo kwenye system na sisi tupambane tuje weka watu wetuKuna baba kantuma anasema usaili nimeambiwa niende au hata usipoenda lkn kaamua kwenda na wameniacha anakwambia ila Depo lazima aende alishapigishiwa juu..
Kikichotokea last trip nadhan ndiyo kinachokuja tokea this TripOyaa wadau hivi mkeka wa kwenda kiwira kwa wasio na fani tulio apply kwenye gereza la wilaya husika nao utatoka online?
Yeyote yule anaenda ? Au mpka muwe madaktari na ma engineer ?Sema wazee JWTZ naona kufidia zile nafasi za watu wanaokimbia Makutupora, sasa hivi wanakuuliza kwanza kama unapenda jeshi,naona wanasaka watu kinyama.
Kama una mbuyu mtafute akuunganishe, leo tu nina washikaji zangu kama nane hivi wamepigiwa simu walipoti Makutupora mwisho Jumatano.
Maana kule Kozi inashindwa kuanza mpaka watu wote watimie na CDF akahutubie mara ya mwisho kuwaaga.
Naona mazoezi hayajaanza ila watu wanakimbia hivyo,je ya kianza itakuaje.?
Achana nao hao wewe focus katika kile unachokiamini.Halafu kilimo unachokizungumzia cha kututoa tupige hatua kinaitaji uwekezaji aka mpunga aka capital
Mbna fatiki bado hazijaanza mkuuNi madaktari na mainjinia tu.
Hata watu wa VETA wapo kuanzia certificate hadi level 4.
Maana hili ni kundi la watu Special wanasema.
Kama umesomea mambo ya ufundi na afya uhakika, ila kama umepiga Kozi nyingine inabidi uwe na mbuyu kweli kweli,kuanzia zile level za brigedia kwenda juu. Maana kuna mshikaji kasoma BBA na yeye yupo Makutupora now.
Ila maisha haya,washikaji zangu watatu tu ndo wanataka kwenda.Wengine watano hawaendi na wala hawataki kupasikia. Hii ni baada ya washikaji zetu wawili walienda juzi kati,wakatoroka wiki ya kwanza tu.
Sisi wajeruman if I Die ndo chenja yetuWengine waoga tu Kaka,halafu yale maisha hawayapendi pia.
Maana fatiki linaanza mwezi wa saba huko.
Daah kuna watu wanachezea bahati hizo nafasi tungezipata sisi walalahoi sidhani kama tungekimbia bora ufie kwenye mafunzo lakini sio urudi huku mtaaniNi madaktari na mainjinia tu.
Hata watu wa VETA wapo kuanzia certificate hadi level 4.
Maana hili ni kundi la watu Special wanasema.
Kama umesomea mambo ya ufundi na afya uhakika, ila kama umepiga Kozi nyingine inabidi uwe na mbuyu kweli kweli,kuanzia zile level za brigedia kwenda juu. Maana kuna mshikaji kasoma BBA na yeye yupo Makutupora now.
Ila maisha haya,washikaji zangu watatu tu ndo wanataka kwenda.Wengine watano hawaendi na wala hawataki kupasikia. Hii ni baada ya washikaji zetu wawili walienda juzi kati,wakatoroka wiki ya kwanza tu.
Kila la heri poti [emoji3][emoji3]Mniombee kesho napewa jibu mapoti
Mbna fatiki bado hazijaanza mkuu
Sasa mfano ukiingizwa huko wakijua umesoma kozi nyengine kwenye kufanya uhakiki si wanakuchomoa ?Wengine waoga tu Kaka,halafu yale maisha hawayapendi pia.
Maana fatiki linaanza mwezi wa saba huko.