MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 285
Kibali kimetolewa lakini info kwamba wamefanya kimya kimya ambayo watu wanasema tayari sio kweli...mamb hayawez kwenda kmyakmya lazma watoe update...kwahyo tusikilizie tu update km wakija chukua uraiani kwahyo Imani inabidi tuendelee kuwa nayo ya kusikilizia anytime wakisema
Yah you are right bro..!