Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jumaatatu imefika sasa....ngoja tuone hii week nayo itaishaje ....[emoji847][emoji847]
Ww unajua intake ngapi zimestafu? Unajua magufuli hajaajiri intake ngap?Wazee elfu 10 ni nyingiii sana haiwezi ikawa idadi hio
Hakuna kitu kama icho ww ,Ww unajua intake ngapi zimestafu? Unajua magufuli hajaajiri intake ngap?
Tena elfu kumi ndogo sana
Ww unajua intake ngapi zimestafu? Unajua magufuli hajaajiri intake ngap?
Tena elfu kumi ndogo sana
Wewe unalia na magereza tu, basi ngoja leo nikwambie kitu kuhusu magereza kama hawaja badilisha utaratibu wao.Ila Magereza ita dissapoint watu wengi sana sababu ya kuchelewa kwao kutoa majina,,,wengine hatuna la kufanya tunawasubir wao muda wote huuu halafu sasa majina yatoke tusiwepo duuuh hapo ndipo balaa linaanzaa...[emoji2363][emoji2363][emoji2363]
Bora watoe watu tujue moja kama ni yes or no
Wewe unalia na magereza tu, basi ngoja leo nikwambie kitu kuhusu magereza kama hawaja badilisha utaratibu wao.
Magereza huwa wanatabia ya kuwapeleka kozi watu wao wenye elimu kubwa baada ya kozi kuanza kule Kiwila/Kiwira Mbeya. Yaani wenye elimu ndogo 4m4 na 4m6 huwa wanatangulia wanafungua mafunzo alafu baada ya muda ndio wenye elimu kubwa wanakuja badae.
Hivyo kama hawaja badilisha hiyo system subiri sana kijana kuitwa sio leo wala kesho.
Tarehe bado ila wamesha pigiwa simu kwa wale walio chaguliwa. Ila kwa nyie wenye elimu kubwa subirini sana kama utaratibu wao bado ni ule ule. Sio ajabu wakaja kutoa tangazo upya la watu wenye faniKumbe ndio utaratibu wao....???lakin mbona hata hao form 4$6 mbona bado hawajatolewa tar ya kwenda kozi
Nlisikia hata hao wa elimu ya juu washapigiwa simuTarehe bado ila wamesha pigiwa simu kwa wale walio chaguliwa. Ila kwa nyie wenye elimu kubwa subirini sana kama utaratibu wao bado ni ule ule. Sio ajabu wakaja kutoa tangazo upya la watu wenye fani
Nlisikia hata hao wa elimu ya juu washapigiwa simu
Hawa hawajaitwa hata kwenye usaili ndio maana namwambia kijana hapo juu awe mvumilivu kama system yao bado ni ile ile ya kuwapeleka mafunzoni baada ya kozi kuanza.Nlisikia hata hao wa elimu ya juu washapigiwa simu
Kuwa mvumilivu wenye elimu za juu hakuna aliye pigiwa simu hata mmoja maana hata majina yao ya usaili bado hayajatoka.Hahahahaha dah aisee haya mambo haya yanaenda kienyeji balaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama nao walishapigiwa duuuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kuwa mvumilivu wenye elimu za juu hakuna aliye pigiwa simu hata mmoja maana hata majina yao ya usaili bado hayajatoka.
Jw nasikia sikia tu nafasi zao 6k-8k eti sijui ukwlSiku zote jeshi hawawi specific, elewa wakisema ajira 6000 ujue ni zaid ya hapo. Hili la elfu kumi sikatai, inaweza ikawa na ukweli ndani yake. Tusubirie
Af kingine vip kuhusu zile za PT, bado kuna watu wa online hawajapigiwa simu, kuna mtu alisema watakuja na mkeka wa watu 700
Nami navyojua magereza bado hawajatoa mkeka wa vijna wa elimu kwa ajili ya usahili,....VP na Pccb mkeka wao badoAnhaaa apo nimeelewa sasa maana jamaa apo juu alikua kashanchanganya aliposema wenye elimu pia washaanza kupigiwa simu
Ndo yako hivyo mm ndo najua hivyoMbona nasikia nafasi ni kwny 6k-8k ,,kuna uwezekano wa kozi wakapiga cjui msta na orjolo eti ,, lkn hizi 3114 naskia ni wale waliokuwa kwenye miradi na wanaweza tembea kuanzia kesho kwenda msata eti ,navyosikia eti kuna bogi la pili ndo wanaweza kwnda orjolo ,, tujulishane weny vitaarifa ...maana nasikia 2017 Magufuli alitangaza nafas 3k za jeshi lkn nasikia walipiga 5k na kozi zilizokuwa orjolo na msata, huwa wanaongeza ,ukisikia 4k ajira hapo idadi halisi inaweza kuwa 6k-8k ,nimewanyooshea mikono jwtz ka hv
Ndo yako hivyo mm ndo najua hivyo
Amini nakwambia hyo idadi haipo kama huamni muda utaongea