Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa mkuu nadhani tulikua wote utumishi ASa Marketing-Walinipiga ndoige ambayo sikuvutiwa nayo kabisaKabisa kk me huwa naamn mtu unapothubutu ndio baraka zinakuja, Wakati wa mungu ndio sahihi.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
telegram?kama ni telegram join grup mbali mbali na malipo utoe baada ya huduma ni bukutatu jero hiviNimejaribu ku request toka juzi sijajibiwa wadau wana view tu
sina mkuu ,pambania mbona grup kibao kiongozi!Nisaide link Mkuu
Sio wewe tu mpk mm nilipigwa ndoige ya marketing sikuamn, Kuna kitu nilijifunza pale ingawa nilijibu vzr tu mpk karatasi nikaongeza kuja kuchek niko below[emoji3][emoji3][emoji3]poa mkuu nadhani tulikua wote utumishi ASa Marketing-Walinipiga ndoige ambayo sikuvutiwa nayo kabisa
kilicho niuma mkuu nilikua above 55Sio wewe tu mpk mm nilipigwa ndoige ya marketing sikuamn, Kuna kitu nilijifunza pale ingawa nilijibu vzr tu mpk karatasi nikaongeza kuja kuchek niko below[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Andika namba yako kwnye reem moja kwa ukubwa inatoshaWadau nina shida na nakala ya kadi ya nida
Namba ya nida ninayo
Duuuh aiseh ile nyingine hukuombaga ya economistkilicho niuma mkuu nilikua above 55
but always next time
Upo mkoa ganiNipo mzee baba...... Nilipigwa bogi Gereza moja la Kilimo huku ndichi kazi kazi, tuko pamoja
nilijua zitapigwa mda mmoja so siku aplai. hpa naskizia za MDA kama zitatema hivi karibuniDuuuh aiseh ile nyingine hukuombaga ya economist
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Anhaa me ndio nilikuwa nawazaga km wewe, nakumbuka nilianzaga kuomba marketing[emoji3] mapema sana, ilivyofika tar 30 august ndio ilikuwa deadline, nikasema wacha niombe na economist liwalo na liwe[emoji3][emoji3][emoji3] lkn ndio nilifika oral hiyo economist kuliko marketing ingawa oral ilikuwa ya moto. Wacha tusubiri MDA nadhani after tra zinazofuata ndo hizo na za wizara ya kilimo![emoji848]nilijua zitapigwa mda mmoja so siku aplai. hpa naskizia za MDA kama zitatema hivi karibuni
JAH ata bless mkuuu ,utalamba asaliAnhaa me ndio nilikuwa nawazaga km wewe, nakumbuka nilianzaga kuomba marketing[emoji3] mapema sana, ilivyofika tar 30 august ndio ilikuwa deadline, nikasema wacha niombe na economist liwalo na liwe[emoji3][emoji3][emoji3] lkn ndio nilifika oral hiyo economist kuliko marketing ingawa oral ilikuwa ya moto. Wacha tusubiri MDA nadhani after tra zinazofuata ndo hizo na za wizara ya kilimo![emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Amina kabisa kaka hakika sote kwa pamoja tutatoka tu,JAH ata bless mkuuu ,utalamba asali
na tuombeane wasaka ajira tuchomoke kitaa sio kwa msoto huu
Maslahi yakoje ya askari jela aisee?Kwa mwezi anakunja ngapi ukichanganya basic salary na tu posho posho?Hebu saidia vijana wahamasike kuomba majeshi maana vijana wengi hawana taarifa sahihiNipo mzee baba...... Nilipigwa bogi Gereza moja la Kilimo huku ndichi kazi kazi, tuko pamoja
Haina noma muda so mrefu utakuwa Pamoja na Kunguru wa Manzese sahivi yupo koziNipo mzee baba...... Nilipigwa bogi Gereza moja la Kilimo huku ndichi kazi kazi, tuko pamoja
yaah mkuu .natamani nikarushe hta zimamotoNdugu zangu safari hii tunaondoka mtaani. Tumuombe mungu tu.[emoji3578]
polisi form4 mkoani ni utaratibu wao.ila uhamiaji hawanaga hzo pgo wote ni kutest dhari domuHizi ajira za polisi, zimamoto, uhamiaji naona elimu zote anwani ni makao makuu Dodoma
Safari hii naona hawataki tena kufanya mkoani especially wale wa form 4 au ? Bado ka utaratibu ni kale kale Kama zamani ?