Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

poa mkuu nadhani tulikua wote utumishi ASa Marketing-Walinipiga ndoige ambayo sikuvutiwa nayo kabisa
Sio wewe tu mpk mm nilipigwa ndoige ya marketing sikuamn, Kuna kitu nilijifunza pale ingawa nilijibu vzr tu mpk karatasi nikaongeza kuja kuchek niko below[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
nilijua zitapigwa mda mmoja so siku aplai. hpa naskizia za MDA kama zitatema hivi karibuni
Anhaa me ndio nilikuwa nawazaga km wewe, nakumbuka nilianzaga kuomba marketing[emoji3] mapema sana, ilivyofika tar 30 august ndio ilikuwa deadline, nikasema wacha niombe na economist liwalo na liwe[emoji3][emoji3][emoji3] lkn ndio nilifika oral hiyo economist kuliko marketing ingawa oral ilikuwa ya moto. Wacha tusubiri MDA nadhani after tra zinazofuata ndo hizo na za wizara ya kilimo![emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Anhaa me ndio nilikuwa nawazaga km wewe, nakumbuka nilianzaga kuomba marketing[emoji3] mapema sana, ilivyofika tar 30 august ndio ilikuwa deadline, nikasema wacha niombe na economist liwalo na liwe[emoji3][emoji3][emoji3] lkn ndio nilifika oral hiyo economist kuliko marketing ingawa oral ilikuwa ya moto. Wacha tusubiri MDA nadhani after tra zinazofuata ndo hizo na za wizara ya kilimo![emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
JAH ata bless mkuuu ,utalamba asali
na tuombeane wasaka ajira tuchomoke kitaa sio kwa msoto huu
 
Hizi ajira za polisi, zimamoto, uhamiaji naona elimu zote anwani ni makao makuu Dodoma

Safari hii naona hawataki tena kufanya mkoani especially wale wa form 4 au ? Bado ka utaratibu ni kale kale Kama zamani ?
 
p
Hizi ajira za polisi, zimamoto, uhamiaji naona elimu zote anwani ni makao makuu Dodoma

Safari hii naona hawataki tena kufanya mkoani especially wale wa form 4 au ? Bado ka utaratibu ni kale kale Kama zamani ?
polisi form4 mkoani ni utaratibu wao.ila uhamiaji hawanaga hzo pgo wote ni kutest dhari domu
 
Back
Top Bottom