Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana
Daah kaniteka ubongo wangu mimi, sioni raha kuwa Jf bila kumtext yeye. Nampenda sana.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
Pole

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
pole kwakuangukia kwenye penzi
labda huja fafanua je? mnafahamiana usokwa uso aundio kama ulivyosema yupo humu boy unawezaje kumpenda usiemjua hata kama nipicha niwangapi wanaweka picha zisizozao wala majina yasio yao au umeamua kutupima akili
ok msaada wangu kwako ni huu mtaje jina nitakusaidia kumtongoza kwaajili yako na hatakama unanamba zake za simu pia itarahisisha zaidi
 
We nawe huna sera.. upendo wake na chama vinahusiana vp.. acha uchochezi... Hovyooooo[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]

Mkuu, uchochezi sijaufanya mimi. Nilikuwa nauliza ili kukamilisha mapenzi ya mkuu wa nchi. Yamkini hukusikia alichokisema.
 
pole kwakuangukia kwenye penzi
labda huja fafanua je? mnafahamiana usokwa uso aundio kama ulivyosema yupo humu boy unawezaje kumpenda usiemjua hata kama nipicha niwangapi wanaweka picha zisizozao wala majina yasio yao au umeamua kutupima akili
ok msaada wangu kwako ni huu mtaje jina nitakusaidia kumtongoza kwaajili yako na hatakama unanamba zake za simu pia itarahisisha zaidi
Anaitwa Numbisa mkuu
 
Back
Top Bottom