Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Bwana mdogo watu wanasrma maneno mengi sana humu kikubwa nilitegemea wakushauri ila unapokea post kidogo tofauti


Tumpe ushauri tu si ndio kiu yake wakuu

Kijana mwambie tu ujumbe ufike akikataa utakua na akikubali pia utajua kuliko kuumiza nafsi yako bure
 
Ahsante kwa ushauri mkuu. Hauna mwingine ukaongezea
 
NIMEKUMBA WIMBO HUU.
Yupo jirani na kwetu, anayenifanya nawaza
Yupo jirsni na kwetu, anayenifanya na data (x2)
Verse
Nitakapo ficha maradhi mimi, kifo kitaniumbua aaha.
Lazima niwe muwazi mimi, ukweli nitamwambia ahaa.

My Motivation
 
wengine ni wanaume wanatumia id na avatar za kike, yakikukuta utupe mrejesho. kuja taratibu humu, usiparamie
 
Ahsante kwa hilo, ila I have a feeling wewe ni Mondray....nipinge
Huu ni ukweli mtupu
Huyu ni mondray 100% baada ya uchunguzi wa siku mbili hizi

Uhakika kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…