Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mondray Chikira hua anaandika Chikara.Nakupinga mkuu.
Unaweza weka evidence hapa
Na wewe unaandika hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mondray Chikira hua anaandika Chikara.Nakupinga mkuu.
Unaweza weka evidence hapa
Hahaaaaaaa umenifurahisha sana. Inaonyesha unamfuatiliaga maandishi yake huyo jamaa.Mondray Chikira hua anaandika Chikara.
Na wewe unaandika hivyo hivyo.
Ni mwanamke kweli?Helooooo Jf
Aise toka nimejiunga juzi humu jf nimemuona humuu daa hatarii.
Kanivutia sana nimempenda sana.
Tatizo ni kitu kimoja mimi ni domo zege sana
Daah kaniteka ubongo wangu mimi, sioni raha kuwa Jf bila kumtext yeye. Nampenda sana.
Nampenda ila nashindwa kumuambia yaani hata kumtaja nashindwa.
Tafadhari sana nishaurini nifanyaje wakuu, nategemea msaada wenu.
By mgeni kutoka Fesibuku
Rayvanny
[emoji13] [emoji13]GO GO PACHA WANGU
Sio mwanamke ni msichana mzuriNi mwanamke kweli?
Peace joh, itabidi tuunge undugu sasa.Hahaaaaaaa umenifurahisha sana. Inaonyesha unamfuatiliaga maandishi yake huyo jamaa.
Btw. Sio mm
Yeah kweli kabisa. Nakumbuka tulipaluana one day ila yote ni sehem ya maisha kama maboysPeace joh, itabidi tuunge undugu sasa.
Uliparuana na Mondray?Yeah kweli kabisa. Nakumbuka tulipaluana one day ila yote ni sehem ya maisha kama maboys
Wengine ni madume humu yana andika Kama watoto wa kike. Kuna mmoja somebody malecela Ana vicheko vya kike lakini nahisi ni mwanaume anatumia ID halisi.Sio mwanamke ni msichana mzuri
Sasa tutakusaidiaje jamani?Nikimtaja tu hapa ignoa list itanihusu na sitaki nimpoteze
Yeah mliparuana na hicho kiumbe. Utakua umesahau tu ila mm nakumbukaUliparuana na Mondray?
Ushauri jinsi ya kufanya inatoshaSasa tutakusaidiaje jamani?
Unanitisha ujueWengine ni madume humu yana andika Kama watoto wa kike. Kuna mmoja somebody malecela Ana vicheko vya kike lakini nahisi ni mwanaume anatumia ID halisi.
Hahahahaha nahisi nimeona uzi wako ukisema wewe ni memba mpya juzi, kumbe upo kitambo unatuchora hahahahahaYeah mliparuana na hicho kiumbe. Utakua umesahau tu ila mm nakumbuka
Mimi nimemba mpya joh sema nilihusishwa sana na mondray ndio ikabidi nimtafute nione post zake ili nimfahamu. Bahat nzuri ndio nikaona mlipo zinguanaHahahahaha nahisi nimeona uzi wako ukisema wewe ni memba mpya juzi, kumbe upo kitambo unatuchora hahahahaha
Peace joh....Mimi nimemba mpya joh sema nilihusishwa sana na mondray ndio ikabidi nimtafute nione post zake ili nimfahamu. Bahat nzuri ndio nikaona mlipo zinguana
Ok joh tuko p1 from nowPeace joh....