Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

I know my bebe mondray vizuri tu
Ni huyu huyu mwenye ID ya Ray van Boy

Mwanzo nilidhani ni yule shoga rayyoungr ila sio
Hahaaa yani sipend kufananishwa na hicho kiumbe basi tu. Ngoja niuchunie tu, Yes I am
 
Nitajitahid yaweza kua ni wew
Unamjua vema miss chagga? sio mdada wa mchezo mchezo naamanisha uhakikishe, una mapene sio mtu wa chips yai huyo, jipange sawa sawa ki fedha, hahahahahahahahaahahahaahaha
 
Back
Top Bottom