Wamemjibu Sasa
Wamemuomba namba ya mita ila majibu badoWamemjibu Sasa
Matumizi yako ni ya kawaida yanaenda yakiongezeka baadhi ya miezi ya yakipingua na mita haina deni wala tatizo lolote
Ulivyowapa namba ya LUKU wamekujibu?Yap. Nilishamtag
Tunaomba.namba yako.ya mita
Pi unatumia wastani wa unit 103 kwa mwezi hivyo hakuna tatizo
Ina maana kupata unit 28 kwa sh elfu 10 ni sawa?Matumizi yako ni ya kawaida yanaenda yakiongezeka baadhi ya miezi ya yakipingua na mita haina deni wala tatizo lolote
Mmh haya. Ila nahisi kuna tatizo mahaliPi unatumia wastani wa unit 103 kwa mwezi hivyo hakuna tatizo
Ulivyowapa namba ya LUKU wamekujibu?
Mbona una mambo ya kudandiwa wewe? Kaulizwa admin unajibu wewe.Mkuu
Jiongeze Tanesco Wanafanya Kazi Masaa 24/7
Demi, usifanye hivi tena, kila mita ina GPS system so ni rahisi watu wasojulikana kukuteka.
Tanesco mnachukua muda gani kumrudisha mtu aliekuwa matumizi ya chini kwenda ya juu, ni once akizidisha units 72. Au kuna matazamio mara kadhaa?
Na je akijirekebisha kunauwezekano kurudishwa tena chini? Au ndio Life Ban
Waje tu kunichukuaDemi, usifanye hivi tena, kila mita ina GPS system so ni rahisi watu wasojulikana kukuteka.
Wakikujibu unitag. Ninatatizo kama lako mkuu.
Dah siku unanizingua unashangaa nipo mlangoni kwako ..Adress ushaweka hapo
Karibu sanaDah siku unanizingua unashangaa nipo mlangoni kwako ..Adress ushaweka hapo
Asante, nimeona majibu yake, wako vizuriWamejibu. Soma comments
Hiyo ni sawa, hapo kwenye matumizi ndio pana shidaKwahiyo Ina maana kupata unit 28 kwa sh elfu 10 ni sawa?
Pale TANESCO wanapojipongeza wenyewe!![emoji41][emoji41][emoji41]TANESCO nawapongeza sana sana, mnastahili pongezi nyingi sana kwa kujiunga JF na kujibu hoja za wateja. Kwa kweli mmnaleta changamoto kwa mashirika na taasisi zingine za umma kufuata mahali walipo wateja wao na kuwahidumia pasipo ubaguzi. Nasema hivi kwasababu baadhi ya taasisi hazitaki mitandao ya kijamii na hasa JF.
Pia nashauri wanajamii kutumia vizuri fursa hii, kwa kuuliza na kutoa michango yenye tija na staha.
Enjoy huduma zetuPale TANESCO wanapojipongeza wenyewe!![emoji41][emoji41][emoji41]