Nakubali naomba kazi mkuuBadilisha mtazamo wako kazi zipo kibaooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali naomba kazi mkuuBadilisha mtazamo wako kazi zipo kibaooooo
Ila kimsingi ni kwamba watu wote hatuwezi kuajiriwa wengine lazima tutengeneze vyanzo ya ajira kwa wengineBadilisha mtazamo wako kazi zipo kibaooooo
Tuna CV yako!! tuone kama una sifaIla kimsingi ni kwamba watu wote hatuwezi kuajiriwa wengine lazima tutengeneze vyanzo ya ajira kwa wengine
Miezi miwili tu unaanza kulalamika na kukatisha watu tamaa aisee.. hiyo degree haijakusaidia baado.Ngoja nikushauri mzee mimi nimesoma NIT shahada ya business administration nimeanza 2020 nimemaliza mwezi huu tarehe 6 nimemaliza Sina hata Mia na nimerudi nyumbani kula ugali wa wazazi na miaka 24 nakushauri tu nenda VETA kasomee fani aidha ufundi umeme wa magari, au ufundi wa electronics haswa simu then zamia Daslam utakuja kunishukuru I wish ngejua mapema ningeenda VETA Ila it's too late 24 of age remain 6 years to reach 30 na sijawah kufanya kaz yoyote ya kuniingizia kipato siku zote nahudumiwa napewa hela kutoka hommie
Nampa ukweli, bora awe na fani afu degree ifuate rasi hivo akasomee afya au ualimu kama anataka green pasture za kufikia haraka Ila huku kwingine ni kugumuMiezi miwili tu unaanza kulalamika na kukatisha watu tamaa aisee.. hiyo degree haijakusaidia baado.
Wewe Jamaa umesoma degree kweli?😄Nampa ukweli, bora awe na fani afu degree ifuate rasi hivo akasomee afya au ualimu kama anataka green pasture za kufikia haraka Ila huku kwingine ni kugumu
Hoja yako ni ipi bossWewe Jamaa umesoma degree kweli?😄