Msaada katika ndoa: Mwaka wa tatu kwenye ndoa sijapata ujauzito

Msaada katika ndoa: Mwaka wa tatu kwenye ndoa sijapata ujauzito

Imeandikwa ole wake amtegemeaye Mwanadamu,Sasa please endelea kusali then mweke Mungu mbele then nenda hospitali usimwamini binadamu ila kwa kupitia kwa Mungu utapata msaada wako ndo yeye atawawezesha hao madaktari kukutibu.
 
Imeandikwa ole wake amtegemeaye Mwanadamu,Sasa please endelea kusali then mweke Mungu mbele then nenda hospitali usimwamini binadamu ila kwa kupitia kwa Mungu utapata msaada wako ndo yeye atawawezesha hao madaktari kukutibu.
Amina mkuu
 
Enda Suphai?...Sababu zinaweza kuwa nyingi mno moja wapo ikiwa ni huenda si wewe mwenye shida bali ni Mume wako hana uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito so ni vema muende kwa wataalam wa masuala ya uzazi kwa check-up....Lakini kama uko na mzunguko wa siku 28...Hesabau siku nne za hedhi plus siku 7 za salama hapo huwezi pata ujauzito..Jumla inakuwa siku 11...So kuanzia siku ya 12-13 hapa ukikutana na baba totoo unauwezo wa kupata mtoto wa kike na siku ya 14-16 hapa ukikutana na baba totoo utapata ujauzito pia na kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kiume....So kuanzia siku ya 17 mpaka uje upate hedhi hizo ni siku salama...huwezi pata ujauzito...Hii ni kutokana na experience yangu na imenisaidia kupata mtoto wa kike na wa kiume kwa kufuata utaratibu huu..
Huu ni ushauri mzuri kwa watu wanaotaka kupanga jinsia ya mtoto wanayetaka kumzaa
 
Habari wakuu, natumaini mpo poa. mimi nimeolewa huu mwaka wa 3 ila sijabahatika kupata mimba na siku zangu huwa nazipata vizuri na hata siku za hatari nakutana na Mr. ila sijafanikwa.
Naomba mnisaidie au sijui kuhesabu siku zangu vizuri.
mkuu usijali ipo siku yako na wewe utabarikiwa. tumia mbegu za mlonge na majani yake yanasaidia sana katika matatizo ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke ukizikosa ulipo ni pm. pia tumia asali mbichi, mdalasini na kitunguu saumu na tangawizi kwa maelezo zaidi ni pm maelezo ni bureee kabisaaa
 
mkuu usijali ipo siku yako na wewe utabarikiwa. tumia mbegu za mlonge na majani yake yanasaidia sana katika matatizo ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke ukizikosa ulipo ni pm. pia tumia asali mbichi, mdalasini na kitunguu saumu na tangawizi kwa maelezo zaidi ni pm maelezo ni bureee kabisaaa
poa mkuu
 
mkuu usijali ipo siku yako na wewe utabarikiwa. tumia mbegu za mlonge na majani yake yanasaidia sana katika matatizo ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke ukizikosa ulipo ni pm. pia tumia asali mbichi, mdalasini na kitunguu saumu na tangawizi kwa maelezo zaidi ni pm maelezo ni bureee kabisaaa
Sasa kama maelezo ni bure, unataka aku- Pm ili iweje!???
 
Mama yangu mkubwa hana mtoto hata m1 lakini anatoa dawa na unapata mimba mwezi huohuo ntakupa no yake akusaidie
 
Mr atakuwa anatoa "mbegu hoho" yaani anategewa kwenye siku za hatari huku refarii akiwa anaaangalia saa yake mkononi lakini wapi hafungi mpira unapaaa juu ya mtambaa panya mithiri ya buleti la Joseph Kaniki!
 
Mr atakuwa anatoa "mbegu hoho" yaani anategewa kwenye siku za hatari huku refarii akiwa anaaangalia saa yake mkononi lakini wapi hafungi mpira unapaaa juu ya mtambaa panya mithiri ya buleti la Joseph Kaniki!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu umetisha yaani hata kipa asipokuwepo hafungi hii ni hatar cna
 
Back
Top Bottom