tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Nenda polisi wapatie nadhani na namba yako,then kupush issue yako me mtu wa cyber maji kidogo inapatikanaNdio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda polisi wapatie nadhani na namba yako,then kupush issue yako me mtu wa cyber maji kidogo inapatikanaNdio
sawa mkuuUsiseme boda boda maana huna uhakika kama ni boda boda.
Sio kila mwendesha pikipiki ni boda boda.
Hao ni wezi wanaotumia pikipiki aka vishandu
Pole sana, katoe taarifa polisi kwa ajili ya usalama wako incase ikatumika vibaya maana ina taarifa zako .
Tafuta hata 30k chukua simu ndogo urudi hewani.
Kumbe kurequest usafiri(bolt) ndio kuchezea simu? au ningerequest ikiwa mfukoni?Polisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu
Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Kuna mtu anakaribia kuingizwa mjini apa....Maumivu ya mtu n fursa kwa mwinginePole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.
We kam una computer ulishindwa nn kuitarack au kuifunga simu kwa sababu huna akili.Akili zako ndogo sana, kuingia Jamii Forum lazima simu? Au hujui kwamba kuna computer, umeshindwa kusoma hapo kwamba nilikuwa naenda kazini
Ila kuna watu hamna akili asee.kwa hiyo ulikuwa na simu mbili, ? maana umeibiwa simu na kuanzisha uzi wa kuibiwa simu
Hiyo simu nina uhakika hutoipata na ulifanikiwa kununua nyingine endelea kurikwesti bolti ukiwa umesimama kama hapo uliposimama leo.Kumbe kurequest usafiri(bolt) ndio kuchezea simu? au ningerequest ikiwa mfukoni?
Umeona eeh, akili yake inamtuma kwamba kuingia kwenye internet lazima uwe na simu. Hajui kwamba kuna Tablets, Computers, etc.Ila kuna watu hamna akili asee.
Dawa n kumloga tu. Mimi nna mzee wng yko fresh sana.Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Kumbe ukiwa na computer tu unaweza kuitrack simu yako hata kama imezimwa? ngoja nikuache tuWe kam una computer ulishindwa nn kuitarack au kuifunga simu kwa sababu huna akili.
Unatakiwa ulipe kwanza nusu na ukafanyiwa simu ikirudi usipo maliza pesa yako nyuki atakurudia wewe kukumaliza kama alivyomaliza mwizi.Malipo ni baada ya kazi..
ukiwa na hiyo hirizi kisu hakiwezi kukuingia mwilini mwako.Yeah una track kupitia email code sio zenye bettry kama i phone hata ukizima bado inakuwa inasoma kama hujui mobile tracking devices njoo nikufundisheKumbe ukiwa na computer tu unaweza kuitrack simu yako hata kama imezimwa? ngoja nikuache tu
Kishandu asomewe kurujwani. Yeye na pikipiki yake na ndugu zake wote waadhibiwe.🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.