Msaada: Kibaka/bodaboda ameniibia simu yangu asubuhi hii

Msaada: Kibaka/bodaboda ameniibia simu yangu asubuhi hii

Usiseme boda boda maana huna uhakika kama ni boda boda.
Sio kila mwendesha pikipiki ni boda boda.
Hao ni wezi wanaotumia pikipiki aka vishandu
Pole sana, katoe taarifa polisi kwa ajili ya usalama wako incase ikatumika vibaya maana ina taarifa zako .
Tafuta hata 30k chukua simu ndogo urudi hewani.
sawa mkuu
 
  • Thanks
Reactions: 511
Polisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu

Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .
Kumbe kurequest usafiri(bolt) ndio kuchezea simu? au ningerequest ikiwa mfukoni?
 
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali

Kwa bongo utapoteza pesa yako tu, sana sana ripoti polisi ili ikitokea imetumika kwenye matumizi ya kiovu uwe safe...

Ukipata simu nyingine kuwa makini mahali pa kuitumia haswa maeneo ya wazi...
 
kwa hiyo ulikuwa na simu mbili, ? maana umeibiwa simu na kuanzisha uzi wa kuibiwa simu
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
 
Pole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.
Kuna mtu anakaribia kuingizwa mjini apa....Maumivu ya mtu n fursa kwa mwingine
 
Mwizi wa simu na anayeibiwa simu hao ni wamatumbi tu wasiojua lolote kuhusu smartphone.

Kwa mwizi kumiliki smartphone ya wizi ni sawa na kujikamatisha kwa vyombo vya usalama.

Ikiwa aliyeibiwa ni kilaza hawezi ipata hiyo simu.

Mhanga ikiwa huna uelewa wowote kuhusu smartphone basi samehe tu mwizi wako keshapata mlo
 
ACHA UONGO WEWE,HUJAIBIWA SIMU ILA UNALETA TU VISTORI UCHWARA!
 
Kumbe kurequest usafiri(bolt) ndio kuchezea simu? au ningerequest ikiwa mfukoni?
Hiyo simu nina uhakika hutoipata na ulifanikiwa kununua nyingine endelea kurikwesti bolti ukiwa umesimama kama hapo uliposimama leo.
 
Mwezi uliopita hapa Arusha kuna vijana walimfanyia dada mmoja hivo wakashikwa wakachomwa kama mshkaki
 
Wanaibiwa simu polisi traffic sembuse wewe,pole sana lakini

Ova
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Dawa n kumloga tu. Mimi nna mzee wng yko fresh sana.
 
Malipo ni baada ya kazi..
Unatakiwa ulipe kwanza nusu na ukafanyiwa simu ikirudi usipo maliza pesa yako nyuki atakurudia wewe kukumaliza kama alivyomaliza mwizi.



:Tssk:ukiwa na hiyo hirizi kisu hakiwezi kukuingia mwilini mwako.
 
Pole sana kwa hayo matatizo yaliyokukuta Tafuta nyuki awe mzima mtie katika kijichupa kisha funika nitafute mimi kwa wakati wako uje nae huyo nyuki nipate kumshughulikia ili aweze kuirudisha simu yako. Nyuki atakwenda kumtafuna na wenzake wengi watajenga mzinga kichwani mwake mpaka arudishe simu yako.
Kishandu asomewe kurujwani. Yeye na pikipiki yake na ndugu zake wote waadhibiwe.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom