sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
taja imei yako chap hapa, au email na paswo zako ulizoluwa unatumia kwa simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mm natumia computer ya ofisi kukujibu hapa, mkuu acha maswali ya kiwaki!Hii simu ya kuandika hapa umepata wapi?
Kwanini umesema hana akili?Ila kuna watu hamna akili asee.
sasa huyo kaibiwa si aitrack yaan mtu uibiwe uje simu uje kulalamika wakat kituo cha polisi kipoMbona mm natumia computer ya ofisi kukujibu hapa, mkuu acha maswali ya kiwaki!
Wengi hatuandiki labda kwenye receiptIMEI uliziandika ukatunza?
Akili ni niniKwanini umesema hana akili?
Karne hii mtu unaibiwa simu kiboya boya?Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Nenda sentro cyber crime wataliangalia tatizo lako, chai ni muhimu.Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Iba pikpik mkuuNilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Iba pikpik mkuuNilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Pole sanaaaa unajuq hawa jamaa huwa nao wanasali wanaenda kazini Allah awasaidie na wewe mkumbuke muunba ukiamka mkabidhi kazi yako akulinde.....Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.
Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.
Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
MKUUU....NENDA MBWENI POLISI WAMBIE UMEIBIWA TEGETAPolisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu
Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .
MKUUU....NENDA MBWENI POLISI WAMBIE UMEIBIWA TEGETAPolisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu
Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .