Msaada: Kibaka/bodaboda ameniibia simu yangu asubuhi hii

Msaada: Kibaka/bodaboda ameniibia simu yangu asubuhi hii

taja imei yako chap hapa, au email na paswo zako ulizoluwa unatumia kwa simu
 
nenda police, afu wape IMEI au email yako unayokumbuka Password yake!!
#REGARD_
 
katoe taarifa polisi, kisha uendelee na mambo yako
ukiwaambia waitafute, utagharamika wakkipata hawakupi ,wanapiga hela kwa mwizi wanakaa na simu au wanawapa ndugu zao
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Karne hii mtu unaibiwa simu kiboya boya?
Kahama moja hio uongo?
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Nenda sentro cyber crime wataliangalia tatizo lako, chai ni muhimu.
 
Ukimkamata hakuna kupotezea waute wale jamaa waje kumla kiboga.
Wangese sana hao watu.
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Iba pikpik mkuu

Ubayaa ubwelaaaaa
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Iba pikpik mkuu

Ubayaa ubwelaaaaa
 
Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu.

Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada zaidi ya kupiga kelele za mwizi ila ndio hivyo alikuwa speed.

Simu ni mpya, mwenye Idea nini cha kufanya tafadhali
Pole sanaaaa unajuq hawa jamaa huwa nao wanasali wanaenda kazini Allah awasaidie na wewe mkumbuke muunba ukiamka mkabidhi kazi yako akulinde.....

Kama una box angalia ime no

Ka.ma huna rudi kwa jamaaa waeleze wawasiliane na kiboko ya wachawi awatajie ime yule hakuna kitu hajui
 
Polisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu

Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .
MKUUU....NENDA MBWENI POLISI WAMBIE UMEIBIWA TEGETA
ANZIA TEGETA WAKUPE POLISI RPT WAKIULIZA SEMA UMEIBIWA KWA BASI

UKISHUKA MAKONDE UKAJIKUTA HUNA SIMU

PALE NENDA MBWENI WASTARABU SANA NA HAWACHUKUI HELA MKUUU MBWENI UNAWAPA HELA BAADA YA KUPATIKANA KWA UPENDO WAKOOO

WATAKACHOKWAMBIA ANDIKA NAMBA ZA SIMUYAKO ITAKAYOKUWA ANGANI NA IME YAKO

MKUU NILIBIWA SMARTPHNE JANUARY UBUNGO NIKAIPATA MAY MWISHON

TENA KUPIGIWA NA HAWA HAWA JAMAA HABARI UKO SEHEMU GAN NKATAJA NAITWA AFANDE....KUTOKA MBWENI NKASHTUKA KIWANJA KANGU KIMEPIGWA BADAE WAKASEMA SIMUYAKO IMEPATIKAN UNAWEZA KUJA NGULUKO

HAPO NKAJIONGEZA KUFIKA NKAELEZWA IKO PALE MEZANI MWENYE NAYO YULE KIPARA

WAKAENDA MHOJI AKABISHA ALIKUWA NA DEMU NKAITWA KUFIKA WAKAMWOMBA ANGALIE IME NA MM TUKAANZA KUTAJIANA ANILIONAYO

AKAULIZWA NDIOHIO AKAMTAJA MDOGOWAKE ALIMUZIA

KIFUPI JAMA MMOJA ALITOKA NJE AKASEMA YULE AKUHUSU NIKAMPA 20 USD NKAGEUKA NA SIMU YANGU

KILICHO.KUTA SIRI YAKE MAANA NILIKUTA MAJADILIANO SIMU ILIKUWA NA HELA NA IMETOLEWA

KWA MBWENI AISEE WAKOO THE BEST 💯 HUITAJI KUMJUA MTU WALA KUTOA HELA KAMA UNAENDA KUMWONA KIBOKOO YA WACHAWI
 
Polisi Hawa hawa wa Wambura au unamaanisha interpol? Kama ni hawa wa kwetu namshauri asisogeze pua yake maana gharama atakayotumia kufuatilia ni kubwa kuliko bei ya hiyo simu alafu akumbuke polisi sasa hivi wanawasaka wale wanajeshi wa Yombo Dovya mara wanamuunganishia juu kwa juu

Namshauri apotezee tu kikubwa amepata funzo next time asichezee simu barabaran hata kama ni mchana .
MKUUU....NENDA MBWENI POLISI WAMBIE UMEIBIWA TEGETA
ANZIA TEGETA WAKUPE POKISI RPT WAKIULIZA SEMA UMEIBIWA KWA BASI

UKISHUKA MAKONDE UKAJIKUTA HUNA SIMU

PALE NENDA MBWENI WASTAQRQBU SANA NA HAWACHUKUI HELA MKUUU MBWENI UNAWAPA HELA BAADA YA KUPATIKANA

WATAKACHOKWAMBIA ANDIKA NAMBA ZA SIMUYAKO ITAKAYOKUWA ANGANI

MKUU NILIBIWA SMARTPHNE JANUARY NIKAIPATA MAY MWISHON

TENA KUPIGIWA NA HAWA HAWA JAMAA HABARI UKO SEHEMU GAN NKATAJA NAITWA AFANDE....KUTOKA MBWENI NKASHTUKA KIWANJA KANGU KIMEPIGWA BADAE WAKASEMA SIMUYAKO IMEPATIKAN UNAWEZA KUJA NGULUKO

HAPO NKAJIONGEZA KUFIKA NKAELEZWA IKO PALE MEZANJ MWENYE NAYO YULE KIPARA

WAKAENDA MHOJI AKABISHA ALIKUWA NA DEMU NKAITWA KUFIKA WAKAMWOMBA ANGALIE IME NA MM TUKAANZA KUTAJIANA ANILIONAYO

AKAULIZWA NDIOHIO AKAMTAJA MDOGOWAKE ALIMUZIA

KIFUPI JAMA MMOJA ALITOKA NJE AKASEMA YULE AKUHUSU NIKAMPA 20 USD NKAGEUKA NA SIMU YANGU

KILICHO.KUTA SIRI YAKE MAANA NILIKUTA MAJADOLIANO SIMU ILIKUWA NA HELA NA IMETOLEWA

KWA MBWENI AISEE WAKOO THE BEST 💯 HUITAJI KUMJUA MTU WALA KUTOA HELA KAMA UNAENDA KUMWONA KIBOKOO YA WACHAWI
 
Uje na 120k Pm simu yako irudi unywe maji ya kutosha [emoji856][emoji856]
 
Hao jamaa Sina hamu nao

Waliniliza simu kwenye foleni ya hapo Buguruni, nilikuwa naendesha halafu Kioo cha gari nimeshusha.

Ni muda mrefu umepita tangu tukio hilo linitokee ila bado nalikumbuka
 
Mkuu, haraka sana wasiliana na mtandao uliokua unautumia ili waweze kufunga hizo line zako. Niliwahi kuibiwa halafu wezi wakaanza kuwatumia message watu kwa simu yangu wakiomba hela kuwa nimepatwa na dharula. Hii ifanye haraka sana
 
Back
Top Bottom