Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

Msaada: Kichwa kinawaka moto kwa mawazo, nakosa usingizi

Godlove 17

Member
Joined
May 7, 2023
Posts
32
Reaction score
68
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
 
Pole mkuu nahitaji kukuandikia mengi on how you can overcome that challenge.

Check on me +255658124288 via WhatsApp then I will share with you A lot about negative emotions.

Naomba na MTU mwingine ambaye yupo na msongo Wa mawazo anicheki
 
Pole mkuu nahitaji kukuandikia mengi on how you can overcome that challenge.

Check on me +255658124288 via WhatsApp then I will share with you A lot about negative emotions.

Naomba na MTU mwingine ambaye yupo na msongo Wa mawazo aniche

Pole mkuu nahitaji kukuandikia mengi on how you can overcome that challenge.

Check on me +255658124288 via WhatsApp then I will share with you A lot about negative emotions.

Naomba na MTU mwingine ambaye yupo na msongo Wa mawazo anicheki
Asante
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi,kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona,nimeenda sehemu za maombezi pia ila bdo haiponi.Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda Jkt nimejikuta ninaishi Kwa mawazo sana maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana kiufupi Kwa sasa nimekosa direction maana pamoja na kusoma Sina kazi,sipati usingizi na Kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua Kila siku.Naombeni msaada
dawa yako anayo Bwana Yesu. nikuhakikishie!

usiende kwa hawa watumishi makanjanja wauza mafuta na maji.

AMUA KWA DHATI YA MOYO WAKO KUMPA YESU MAISHA YAKO, ATAKUOKOA.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Pole sana, najua unavyojiskia… mimi imebidi nirudi tu muhimbili( I wish ningekua na neno zuri au motivation ya kukupa) hii Hali inachosha sana sana!
Samahani kama hutojali ww ulikuwa na changamoto gani
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi,kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona,nimeenda sehemu za maombezi pia ila bdo haiponi.Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda Jkt nimejikuta ninaishi Kwa mawazo sana maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana kiufupi Kwa sasa nimekosa direction maana pamoja na kusoma Sina kazi,sipati usingizi na Kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua Kila siku.Naombeni msaada
Nilikuwa na hali mbaya mno kuliko wewe mwaka wote 2022 nilikuwa kwenye SHIMO LA MATESO na sikuweza kula au kulala!

Lakini sasa nipo mwingi wa furaha na amani hata kama sijapata kile ninachotafuta lakini MATUMAINI yapo.

La msingi kuwa mtu wa sala na maombi; ni kweli kuna kupitezwa kichawi na hasa unapokuwa na mawazo kama ya kujinyonga, that’s serious!

Usiendekeze kukaa bila chochote cha kufanya, utakufa kwa mawazo. Mimi na madegree yangu zaidi ya matatu nakaa kijijini nikipanga mambo yangu huku nafanya shughuli za kawaida za wanakijiji! Ipo siku nitachomoka kama roketi japo miaka 3 imepita sasa lakini mambo yatakuwa vizuri.

Kamwe usitukuze mateso yako wala kuyasikilizia, utaumia sana. Jua hakuna kubwa duniani. Yote Mungu aliyoyaachia yaje kwetu tunayamudu na yana maana katika maisha yetu.

Yaangalie maisha kwa upana mkubwa, sahau yaliyotokea. Dunia hii ina wanawake wazuri mno kuliko huyo uliyemwacha, tafuta mwingine.
 
Asa
Nilikuwa na hali mbaya mno kuliko wewe mwaka wote 2022 nilikuwa kwenye SHIMO LA MATESO na sikuweza kula au kulala!

Lakini sasa nipo mwingi wa furaha na amani hata kama sijapata kile ninachotafuta lakini MATUMAINI yapo.

La msingi kuwa mtu wa sala na maombi; ni kweli kuna kupitezwa kichawi na hasa unapokuwa na mawazo kama ya kujinyonga, that’s serious!

Usiendekeze kukaa bila chochote cha kufanya, utakufa kwa mawazo. Mimi na madegree yangu zaidi ya matatu nakaa kijijini nikipanga mambo yangu huku nafanya shughuli za kawaida za wanakijiji! Ipo siku nitachomoka kama roketi japo miaka 3 imepita sasa lakini mambo yatakuwa vizuri.

Kamwe usitukuze mateso yako wala kuyasikilizia, utaumia sana. Jua hakuna kubwa duniani. Yote Mungu aliyoyaachia yaje kwetu tunayamudu na yana maana katika maisha yetu.

Yaangalie maisha kwa upana mkubwa, sahau yaliyotokea. Dunia hii ina wanawake wazuri mno kuliko huyo uliyemwacha, tafuta mwingin

Nilikuwa na hali mbaya mno kuliko wewe mwaka wote 2022 nilikuwa kwenye SHIMO LA MATESO na sikuweza kula au kulala!

Lakini sasa nipo mwingi wa furaha na amani hata kama sijapata kile ninachotafuta lakini MATUMAINI yapo.

La msingi kuwa mtu wa sala na maombi; ni kweli kuna kupitezwa kichawi na hasa unapokuwa na mawazo kama ya kujinyonga, that’s serious!

Usiendekeze kukaa bila chochote cha kufanya, utakufa kwa mawazo. Mimi na madegree yangu zaidi ya matatu nakaa kijijini nikipanga mambo yangu huku nafanya shughuli za kawaida za wanakijiji! Ipo siku nitachomoka kama roketi japo miaka 3 imepita sasa lakini mambo yatakuwa vizuri.

Kamwe usitukuze mateso yako wala kuyasikilizia, utaumia sana. Jua hakuna kubwa duniani. Yote Mungu aliyoyaachia yaje kwetu tunayamudu na yana maana katika maisha yetu.

Yaangalie maisha kwa upana mkubwa, sahau yaliyotokea. Dunia hii ina wanawake wazuri mno kuliko huyo uliyemwacha, tafuta mwingine.
Asante Kwa ushauri kk ,kama hutojali naomba tuwasiliane
 
Nilipoona kichwa cha habari kinasema "Kichwa kinawaka moto kwa mawazo" halafu muanzisha mada ni MAFANIKIO 2023, basi nikadhani nitakutana Motivation Speaker na mada yake tamu kabisa na yenye msisimko kuhusu namna bora ya kufanikiwa kimaisha, kibiashara, kiuchumi, nk. Bahati mbaya mambo yakawa tofauti kabisa!

Kwa ufupi kijana wangu unatakiwa kuondokana kabisa na hiyo hali yako ya kukata tamaa kiasi cha kutamani kufa! Maisha ni mapambano. Ingia mtaani, jichanganye na vijana wenzako kufanya shughuli mbalimbali ili kuondokana na utegemezi. Ondoa fikra za kumaliza masomo na kuajiriwa. Ingiza kichwani mwako fikra mpya ya kujiajiri. Na utafanikiwa katika hilo.

Na unatakiwa pia uachane na tabia za kitoto. Wasichana wamejaa kibao mtaani! Achilia mbali yale machimbo yetu ya siri. Kuwa mjanaja. Huna sababu ya kukalilia hako kasichana kako kalikoenda JKT. Ishi kibaharia wewe. Eti nilimpenda sana!! Pumbavu!!! Unajua maana ya kupenda wewe katika huo umri wako wa foolish age?
 
Nimekuwa nikipitia changamoto ya kukosa usingizi, kutaka kujiua toka mwaka 2018 nikiwa chuo baada nikaanza kunywa madawa ya usingizi zaidi ya aina 15 bila kupona, nimeenda sehemu za maombezi pia ila bado haiponi.

Mwaka 2020 nilipata mchumba ambae nae mwaka huu kaenda JKT nimejikuta ninaishi kwa mawazo sana, maana huyu mwanamke nilikuwa nampenda sana.

Kiufupi kwa sasa nimekosa direction, maana pamoja na kusoma sina kazi, sipati usingizi na kuna roho ya kutaka kujiua inanisumbua kila siku.

Naombeni msaada.
Msaada wetu unatoka kwa Bwana Yesu Mtafute Mungu madam anapatikana ingia kwenye toba muite Yesu atakuponya maana anasema njoni kwangu ninyi nyote na wenye kulemewa na mizigo nanyi nitawapumzisha Bwana Yesu anakuita njoo kwake, kwake kuna amani kuna uzima wa milele amua leo kuokoka na kuacha dhambi tubuni basi mrejee
 
Back
Top Bottom