Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Msaada wako ni kusali sana kulingana na imani yako ndio ataondoka. Otherwise atendelea kuk
👆fuata ushauri huu hapa, Tena Kama muislamu uwe na udhu muda wote, halafu punguza kutumia sana manukato
 
Wewe ndio utakuwa na hayo majini sio hao wake zako,karibu kwa nabii mwamposa uondoe takataka zote hizo
 
Ulikuwa unakata mauno? Pole sana, hao viumbe wana jinsia mbili mkuu, inawezekana mnafanya kwa zamu, siku unagonga siku unag.... Na kama zamu yako bado jiandae au jaribu kulifirusha sasa ndio utaona anavyolipiza ulivyomgonga. Fukuza wake woote ishi nalo hilo maaluni....au kula kitimoto na bangi alafu njoo utupe mrejesho
 
Hawo wanawake hawana tatizo, tatizo liko kwako, kwa kuanza vuta kwanza Bangi huyo jini akutoke.
 
Mleta mada una ugonjwa wa akili.. ni vema uende hospital..
Kingine huenda ulishawahi kuvuta msuba.. kuwa makini sana..
 
Kwa uelewa wangu wewe ndio una tatizo,una jini mahaba(spiritual wife) unahitaji maombi na deliverance!
 
MKUU HEBU FAFANUA VIZURI HAPA nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia
 

Mtoa mada unataka kutibu tatizo au kumuona huyo kiumbe live

Asante kwa ushauri wako mkuu,
 
Mzee wa Makambo
 
KAMA UNAMPENDA MWAMBIE SIKUPI PENZI MPAKA UNIPATIE FEDHA,MARA NYINGI ATAKUPATIA,KAMA HUMTAKI NENDA KWA MWAMPOSA CHUKUA MAFUTA NA MAJI NI 3000 TU.KUNYWA NA JIOAKE MAFUTA ATAKIMBIA MPAKA USHANGAE.
 
mm sijihusishi na mambo ya dini mkuu wangu
Kama Mungu ...basi shetani anakutaka..ndio maana hilo Jini limekuganda....... na nakwambia huna mamlaka na majini...bali wao wanamalaka kwako..hivo kama unadhani utaliendesha..jua wewe ndio utaendeshwa ..kama gari bovu.usijetegemea kaa na ndoa..wake zako wote watasababishwa kufanya kitu usichoweza vumilia..ili uachana nae..kisha Jini atawale peke ake....na mwisho ujue utaishi nae peke ake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…