Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Msaada wako ni kusali sana kulingana na imani yako ndio ataondoka. Otherwise atendelea kuk
👆fuata ushauri huu hapa, Tena Kama muislamu uwe na udhu muda wote, halafu punguza kutumia sana manukato
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
 
Wewe ndio utakuwa na hayo majini sio hao wake zako,karibu kwa nabii mwamposa uondoe takataka zote hizo
 
Ulikuwa unakata mauno? Pole sana, hao viumbe wana jinsia mbili mkuu, inawezekana mnafanya kwa zamu, siku unagonga siku unag.... Na kama zamu yako bado jiandae au jaribu kulifirusha sasa ndio utaona anavyolipiza ulivyomgonga. Fukuza wake woote ishi nalo hilo maaluni....au kula kitimoto na bangi alafu njoo utupe mrejesho
 
Hawo wanawake hawana tatizo, tatizo liko kwako, kwa kuanza vuta kwanza Bangi huyo jini akutoke.
 
Mleta mada una ugonjwa wa akili.. ni vema uende hospital..
Kingine huenda ulishawahi kuvuta msuba.. kuwa makini sana..
 
-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?
Hebu jaribu chuma hiki Mkuu https://web.facebook.com/friends/suggestions/?profile_id=100068820111347

1624547331032.png
 
Kwa uelewa wangu wewe ndio una tatizo,una jini mahaba(spiritual wife) unahitaji maombi na deliverance!
 
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
MKUU HEBU FAFANUA VIZURI HAPA nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia
 
Huwezi toka na baraka, ndo maana mwanamke wa kwanza na wa pili waliondoka.
Yeye anasema walifanya makosa,lakini ukitafakari Ni kwamba walitengenezewa zengwe na huyo jini katika ulimwengu wa Roho. Hi iliambatana na jamaa kufanywa akose hata punje ya msamaha kwao, maana alishakubaliana urafiki na jini.

Mtoa mada unataka kutibu tatizo au kumuona huyo kiumbe live

Ndugu poleni sana, unahitaji msaada wa haraka, kuna ulimwengu wa Roho na kuna ulimwengu wa mwili ambao ndo huu tunaishi, kinachofanyika kwenye ulimwengu wa Roho majini ya Baharini ambayo yanaongozwa na Malikia wa pwani ndiyo hujegeuza kuwa wasichana na kuja kwenye ndoto na kufanya mapenzi, na hawawezi kuja live maaana hawana uwezo wa kuja duniani live maana hawana mili ya duniani, na hawa mapepo ni halisi ni viumbe wa kutisha lengo lao ni kumfanyia kazi shetani na kuwapeleka wanadamu wengi motoni, hawa viumbe ni hatari sana na utakutana nao kwenye umbo lao halisi siku utakavyokufa na hapo utajuta na hautakuwa na mda wa kutengeneza
Hawa majini wa kike wakikupenda wanawatafuta watu wa kwenu ambao ni wachawi na wanapeleka mahari kwenu kupitia njia ya kichawi, kinachofanyika unafunga nayo ndoa kwenye ndoto au kwenye ulimwengu wa Roho, na huwezi kukaa na mwanamke yeyote ndugu na hata ukioa huwezi kukaa na mke!! Na kibaya zaidi ukifanya nao mapenzi zile sperm wanazichukua wanazipeleka kuzimu kwenye kuzifanyia uchawi wao, hutaishi mda mrefu nayo wakiishapata mtoto na wewe!! Tabua kazi kubwa ya viumbe hivyi ni kuchinja kuua na kuharibu, (Yohana 10:10), ndugu ipo njia ya kujinasua kutoka kwenye haya majini mahaba na njia ni nyepesi kabisa, naomba kama kweli umedhamiria kuachana na majini mahaba naomba nifuate inbox!! Nitakusaidia na wewe utawasaidia wengine, usione ni ufahari kufanya mapenzi na shetani, laiti ungemjua huyo kiumbe ndugu yangu, na ukiona unamwaga shahawa na ukiamua huzioni jua kifo chako kinakaribia, Roho yako ilishachafuliwa ndugu yangu unahitaji msaada wa Mungu, kumbuka Mungu aliumba wanadamu kwa wanadamu sio mwanadamu kwa majini!!
Asante kwa ushauri wako mkuu,
 
Mzee wa Makambo
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
 
KAMA UNAMPENDA MWAMBIE SIKUPI PENZI MPAKA UNIPATIE FEDHA,MARA NYINGI ATAKUPATIA,KAMA HUMTAKI NENDA KWA MWAMPOSA CHUKUA MAFUTA NA MAJI NI 3000 TU.KUNYWA NA JIOAKE MAFUTA ATAKIMBIA MPAKA USHANGAE.
 
mm sijihusishi na mambo ya dini mkuu wangu
Kama Mungu ...basi shetani anakutaka..ndio maana hilo Jini limekuganda....... na nakwambia huna mamlaka na majini...bali wao wanamalaka kwako..hivo kama unadhani utaliendesha..jua wewe ndio utaendeshwa ..kama gari bovu.usijetegemea kaa na ndoa..wake zako wote watasababishwa kufanya kitu usichoweza vumilia..ili uachana nae..kisha Jini atawale peke ake....na mwisho ujue utaishi nae peke ake.
 
Back
Top Bottom