Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Hivi wao huwa wanafika kibo pekee eeh?

Ndugu yangu Uzee umefanya niwe napoteza kumbukumbu siku hizi πŸ€—
wanafika kibo kwa mbinde babu yangu , yani inabidi kututumie mpaka ulimi ,maskio , na vipipi utamu , ndio huko kibo wafike kwa shida babu.

Wajukuu zako tunaitwa viba 100 , tumeamua tuipake mkongo angalau kidogo babu.
 
Mume wako ana raha sana, nafikiri hisia zako kwenye manyonyo ni za kiwango kikubwa,

Swali: Ili ufike mshindo kwa mume, anapita maeneo hayo ya manyonyo?
 
Pole sana, wajinga wamekucheka na kukuchamba ...

Wasamehee...


Ipo hivi wakati wa kunyonyesha homoni ya Oxytocin Inakua juu sana, ni homoni ambayo humfanya mama anayenyonyesha kua relaxed kimwili, na pia hupelekea Msisimko mkubwa kwenye KISIMI na KIZAZI .

Naam, Msisimko Huu kwenye KISIMI ndio hupelekea Mwanamke kufikia Mshindoo wake nahata kurusha maji .


Kwa wengine, ndio Sababu inayowafanya Wasipende ngono Toka Kwa Waume zao.



Nyakati za Usiku ,hususani Kuanzia mishale ya saa 9 , ndio nyakati za Hatari zaidi Kwa mwanamke mwenye shida hiii .
 
Ni tatizo ambalo huwatokea wanawake wachache sana.. Likikomaa hutatamani mwanaume mwingine zaidi ya mwanao.. Na lisipotibika utakuja kutamani kuwa na mahusiano ya kingono na mwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapasw usiku ukinyonyesha mwichi uwe ndan[emoji3][emoji2][emoji3]
 
wanafika kibo kwa mbinde babu yangu , yani inabidi kututumie mpaka ulimi ,maskio , na vipipi utamu , ndio huko kibo wafike kwa shida babu.

Wajukuu zako tunaitwa viba 100 , tumeamua tuipake mkongo angalau kidogo babu.
Poleni sana, I real feel your pain πŸ˜” 😒

Nafikiri suala la kuvumiliana na kuchukuliana limekuwa changamoto kwenye mahusiano yenu ya sasa.

Wanasema Mwanamke akikupenda hata ukimshika mkono tu anafika Kibo...😜

Lakini hiyo ya Kibamia ina maana hawajui ule msemo wa "Ukipenda, Chongo huita kengeza"
Kwahiyo walitakiwa wa-imagine Kibamia kuwa ni huge Muhogo then kusingekuwa na kuitana Kibamia tena πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Bwana TOMBANENI unatuchanganya Sana ujue...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…