Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

 
Hello guys, mnaendeleaje?

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kujimalizia mwenyewe hasa pale nilipokuwa nikimynyonyesha mwanangu na hata sasa nikiwa nimempaka usiku wakati akiwa amelala.

Iko hivi;

Wakati namnyonyesha mwanangu Jesse wakati akiwa mdogo, huwa kuna kale ka-feeling mtoto kunyonya huku mkono mmoja kashika ziwa, kiukweli mimi ile hali nimekuwa nikijikojolea (kufika mshindo).

Hapo mwanzo nilidhani huenda ni mara moja tu ingeisha lakini kila nilipokuwa nikimyonyesha mwanangu lazima akianza kuchezea nyonyo najikuta najikojolea tena kojo haswaaa!

Ilifika wakati nikawa sikai nje kabisa wakati wa kumpa nyonyo mwanangu maana hali ilikuwa mbaya sana!

Kibaya zaidi hiyo hali imenirudia tena hadi muda huu ambapo mwanangu ana miaka 3, yaani ikifika usiku nikishamuosha nikampakata tu mikononi wakati anasinzia, najikuta ule muda nimempakata najikuta najikojolea (kufikia mshindo).

Hii hali huwa ni kawaida kwa wadada au kwangu uenda ikawa ni tatizo?

Tafadhali msinidhihaki na kunitukana, nipeni ushauri
sasa naanza kumwelewa papa
 
Hello guys, mnaendeleaje?

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kujimalizia mwenyewe hasa pale nilipokuwa nikimynyonyesha mwanangu na hata sasa nikiwa nimempaka usiku wakati akiwa amelala.

Iko hivi;

Wakati namnyonyesha mwanangu Jesse wakati akiwa mdogo, huwa kuna kale ka-feeling mtoto kunyonya huku mkono mmoja kashika ziwa, kiukweli mimi ile hali nimekuwa nikijikojolea (kufika mshindo).

Hapo mwanzo nilidhani huenda ni mara moja tu ingeisha lakini kila nilipokuwa nikimyonyesha mwanangu lazima akianza kuchezea nyonyo najikuta najikojolea tena kojo haswaaa!

Ilifika wakati nikawa sikai nje kabisa wakati wa kumpa nyonyo mwanangu maana hali ilikuwa mbaya sana!

Kibaya zaidi hiyo hali imenirudia tena hadi muda huu ambapo mwanangu ana miaka 3, yaani ikifika usiku nikishamuosha nikampakata tu mikononi wakati anasinzia, najikuta ule muda nimempakata najikuta najikojolea (kufikia mshindo).

Hii hali huwa ni kawaida kwa wadada au kwangu uenda ikawa ni tatizo?

Tafadhali msinidhihaki na kunitukana, nipeni ushauri
Kila mwisho wa mwezi ntakuwa nafanya birthday yangu.

Natafuta mama wa kuninyonyesha
 
Hello guys, mnaendeleaje?

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kujimalizia mwenyewe hasa pale nilipokuwa nikimynyonyesha mwanangu na hata sasa nikiwa nimempaka usiku wakati akiwa amelala.

Iko hivi;

Wakati namnyonyesha mwanangu Jesse wakati akiwa mdogo, huwa kuna kale ka-feeling mtoto kunyonya huku mkono mmoja kashika ziwa, kiukweli mimi ile hali nimekuwa nikijikojolea (kufika mshindo).

Hapo mwanzo nilidhani huenda ni mara moja tu ingeisha lakini kila nilipokuwa nikimyonyesha mwanangu lazima akianza kuchezea nyonyo najikuta najikojolea tena kojo haswaaa!

Ilifika wakati nikawa sikai nje kabisa wakati wa kumpa nyonyo mwanangu maana hali ilikuwa mbaya sana!

Kibaya zaidi hiyo hali imenirudia tena hadi muda huu ambapo mwanangu ana miaka 3, yaani ikifika usiku nikishamuosha nikampakata tu mikononi wakati anasinzia, najikuta ule muda nimempakata najikuta najikojolea (kufikia mshindo).

Hii hali huwa ni kawaida kwa wadada au kwangu uenda ikawa ni tatizo?

Tafadhali msinidhihaki na kunitukana, nipeni ushauri
Tatizo hilo jina lako
 
Hivi kwani huwa haitekenyi?
Kuna demu mmoja natoka nae ana mtoto kama wa mwaka 1, amewahi kuniambia kitu kinachokaribia kufanana na anachosema huyu mleta mada. Huyo dada aliniambia mwanae akiwa ananyonya kuna "ka feeling" hua anapata. Nilipojaribu kumdodosa zaidi akaniambia mi siwezi kuelewa. Mi sikutilia maanani.
 
Joined December 14, 2023. New Member with only two posts. Tumsamehe bure.
 
Kagugo breastfeeding orgasm au Lactating Orgasm.


Kuna utafiti walifanya wazungu. Wanasema kuna baadhi ya wanawake wanapata hiyo hali ila ni marachache mno, nadra sana.
 
Back
Top Bottom