Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Una fantasy ya ajabu hadi kwa mwanao
Baba ake hakukojeshi vizuri kila saa wajikojolea muda wote unawaza ngono 🫣
nimeshangaa mimi kwa kweli 😀😀😀😀😀😀, huyu ameweka mawazo ya ngono mbele sana kiasi kwamba atashindwa kufanya kazi nyingine
Na kwenye basi je? akija kuona mwanaume mzuri atajisahau na kujikojelesha
huu utakuwa ugonjwa walah ila acha wajuzi waje

teh teh
 
Wasikutukane wakati umeomba msaada , ila nimewahi kusikia kua hiyo hali inawatokea wanawake wengi , thus why inasemekana baadhi ya wanawake kipind chakunyonyesha upendo huhamia kwa watoto kuliko waume zao , hivyo ushauri wangu jicontrol na mshirikeshe Muumba
 
Sasa wale wanawake wanavotaka kupelekewa moto dakika 20 au kusuguliwa Sana ndio wanakojoa wanatoka wapi ...


Wewe ukishikwashikwa tu maziwa ushafika mwisho ,Safi kabisa ....[emoji23]

Wanawake mnatakiwa kujua kuwa ukifanya mapenzi na MTU unayempenda unawahi kufika kileleni kama huyu mwenzenu Bila hata rungu kuzama ndani ...


Nyie mnaolalalamika hamkojozwi basi mnafanya na vidume ambavyo hamna hisia navyo ,mnafuata maokoto ...
 
JamiiForums2144198311.gif
 
Back
Top Bottom