Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Msaada: Kila nikimnyonyesha mwanangu nafika mshindo. Hali hii ni kwa Wanawake wote?

Binafsi sijapenda watu mnavyomuaattack personally huyu dada,hapa duniani magonjwa ni mengi,mtu kaleta tatizo lalke akiamini pengine atapata ufumbuzi ila anaambuliua majibu ya kebehi na dharau,hii sio sawa,hapo TZ kuna mtoto alikuwa anaumwa ugonjwa ambao ulikuwa unamfanya asile chakula chochote zaidi ya mafuta ya kula baada ya kuhangaika kwa wachungaji sijui nini mwisho wa siku akapelekwa India na huko akapatiwa matibabu,hivyo basi maradhi ni mengi tusiwe judgemental sana,vipi lakini mmekula?
 
Binafsi sijapenda watu mnavyomuaattack personally huyu dada,hapa duniani magonjwa ni mengi,mtu kaleta tatizo lalke akiamini pengine atapata ufumbuzi ila anaambuliua majibu ya kebehi na dharau,hii sio sawa,hapo TZ kuna mtoto alikuwa anaumwa ugonjwa ambao ulikuwa unamfanya asile chakula chochote zaidi ya mafuta ya kula baada ya kuhangaika kwa wachungaji sijui nini mwisho wa siku akapelekwa India na huko akapatiwa matibabu,hivyo basi maradhi ni mengi tusiwe judgemental sana,vipi lakini mmekula?
Kwahiyo wewe hapa kwenye hili gazeti lako umetoa ufumbuzi gani kwa mleta mada?
 
Sasa wale wanawake wanavotaka kupelekewa moto dakika 20 au kusuguliwa Sana ndio wanakojoa wanatoka wapi ...


Wewe ukishikwashikwa tu maziwa ushafika mwisho ,Safi kabisa ....[emoji23]

Wanawake mnatakiwa kujua kuwa ukifanya mapenzi na MTU unayempenda unawahi kufika kileleni kama huyu mwenzenu Bila hata rungu kuzama ndani ...


Nyie mnaolalalamika hamkojozwi basi mnafanya na vidume ambavyo hamna hisia navyo ,mnafuata maokoto ...
Kukojoa na kupelekewa moto zaidi ya dkk 20 havihusiani mkuu
 
Back
Top Bottom