wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Natumia LG velvet 5G ya AT&T napata huduma hadi vijijini ndani huko.
Wengi hawafatilii kiundani Frequency Bands za mitandao ya ndani ili kulinganisha na ya Simu anayotaka kununua. Mara nyingi ni makosa ya mnunuzi.
Si kweli,natumia simu na ililetwa mpya kutoka huko na sikupata shida yoyote na network.Ni kweli kwamba simu zote za US ni network locked?
Kama asemavyo jamaa hapo juu?
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania ,KWA kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania
Mbona kuna WaTz wengi tu kila siku wanasafiri kati ya nchi hizi. Huyo mtu wako hajuani na WaTz huko wakakubebea?Salaam wakuu.
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania ,KWA kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu wako wa kusafirisha mizigo.
Pili, je unaweza kusafirisha Document bahasha Moja yenye karatasi 10, ukaichanganya na hizo simu 2 zikaja KWA pamoja?
Nauliza hivi maana wiki iliyopita nimetuma document huko huko zimefika jana, gharama tuliyotumia ni sh 138,000 KWA kutumia DHL...sasa nashangaa mtu niliyemtumia anasema eti kutuma hizo simu 2 KWA DHL ni dola 200! Na haiwezekani kutuma document na simu pamoja.
Naomba msaada KWA yeyote anayejua maana hata tulivyotuma document baada ya kuingiza data za mzigo kwenye system ya DHL walituonyesha bei sasa wewe ndio unachagua rahisi kwako...nashangaa hiyo dola 200 ni kweli kwa simu mbili?
Cha kuzingatia ni kununua simu ambazo ni 'unlocked', haijalishi ziko kwenye vifungashio vyake au zilitumika.Mpya kabisa kwenye boksi lake au used?
Usitumie Fedex, Tz hakuna Fedex Agent, kuna makanjanjaFedex
Tumia EMS service ya USPS.Salaam wakuu.
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania ,KWA kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu wako wa kusafirisha mizigo.
Pili, je unaweza kusafirisha Document bahasha Moja yenye karatasi 10, ukaichanganya na hizo simu 2 zikaja KWA pamoja?
Nauliza hivi maana wiki iliyopita nimetuma document huko huko zimefika jana, gharama tuliyotumia ni sh 138,000 KWA kutumia DHL...sasa nashangaa mtu niliyemtumia anasema eti kutuma hizo simu 2 KWA DHL ni dola 200! Na haiwezekani kutuma document na simu pamoja.
Naomba msaada KWA yeyote anayejua maana hata tulivyotuma document baada ya kuingiza data za mzigo kwenye system ya DHL walituonyesha bei sasa wewe ndio unachagua rahisi kwako...nashangaa hiyo dola 200 ni kweli kwa simu mbili?
Waone Silent oceanSalaam wakuu.
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania ,KWA kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu wako wa kusafirisha mizigo.
Pili, je unaweza kusafirisha Document bahasha Moja yenye karatasi 10, ukaichanganya na hizo simu 2 zikaja KWA pamoja?
Nauliza hivi maana wiki iliyopita nimetuma document huko huko zimefika jana, gharama tuliyotumia ni sh 138,000 KWA kutumia DHL...sasa nashangaa mtu niliyemtumia anasema eti kutuma hizo simu 2 KWA DHL ni dola 200! Na haiwezekani kutuma document na simu pamoja.
Naomba msaada KWA yeyote anayejua maana hata tulivyotuma document baada ya kuingiza data za mzigo kwenye system ya DHL walituonyesha bei sasa wewe ndio unachagua rahisi kwako...nashangaa hiyo dola 200 ni kweli kwa simu mbili?
Ok.Kama unasafirisha simu tena 2 hiyo gharama ni sawa kabisa, wanapiga uzito plus restrictions za kusafirisha hazardous goods. Simu moja inaweza kuwa na gram 240 mfano 14 pro max, So hapo pamoja na box weka gram 500 tu.
Ukichanganya na hizo karatasi bado itakuwa vile vile tu kwakuwa msafirishaji lazima ataj
Wanasafirisha kutoka US to Bongo?Waone Silent ocean
Shukrani mkuu.Tumia EMS service ya USPS.
Huwa natuma simu 10 kwenye box dogo, nazungusha tape box zima.
Kwenye customs declaration form naandika solar calculators au solar chargers.
Pia naandika USB type C wire chargers (kwa sababu zitascan wataona wires).
Utajaza mji na Telephone #. Zikifika baada ya 3-5 days watampigia simu.
Simu 10 average natumia 100$.
Zikifika Dar watachaji customs. but basically EMS ya USPS is the best option.
Kutuma simu 2 ni hasara inaweza ikawa hiyohiyo 100$.
ok.Usitumie Fedex, Tz hakuna Fedex Agent, kuna makanjanja
Hehehe natumia FedEx mara nyingi sana na mostly mzigo wangu napata ndani ya siku 8, na delay inakuwa dar otherwise ingekuwa mapema zaidi. Anyway, labda ni upande wangu ila sijawahi kupata shida na FedEx neither DHLUsitumie Fedex, Tz hakuna Fedex Agent, kuna makanjanja
Hao wahuni wapo china tu 😀Waone Silent ocean
swala la mda kabla kilioFedEx