X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #61
Kuhusu kukauka kiuno huo ni ugonjwa kuna wadudu wapo mashambani ndio wanaofanya hiyi kazi hasa kwenye mashamba ambayo yaliwahi kupandwa mazao mengine muda mfupi kabla ya kupanda nyanya.Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Huku kwetu ukitaka mbegu nzuri ni kuagiza kenya angalau wako na uhakika ,soko la mbegu kiujumla limevamiwa sijui labda huko uliko mkuuKuhusu kukauka kiuno....huo ni ugonjwa kuna wadudu wapo mashambani....ndio wanaofanya hiyi kazi...hasa kwenye mashamba ambayo yaliwahi kupandwa mazao mengine...muda mfupi kabla ya kupanda nyanya.
Kuna kampuni...nimeisahau jina...ila wapo...arusha mbegu zao ni za uhakika...mkuu..na Wanatoa maelekezo bure...Huku kwetu ukitaka mbegu nzuri ni kuagiza kenya angalau wako na uhakika ,soko la mbegu kiujumla limevamiwa sijui labda huko uliko mkuu
miche umenunua wapi, mmoja kiasi gani na ni ya aina gani ~asila, anna.. ?
Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
Hilo jani litakuwa limepitiwa na kitu gani...?Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
Hapo ni leafminer ,dawa yenye abamectin / emamectin inammaliza so unaweza piga dynamec/biotrine/balton abamectin etc ila chukua original molecules pekee kama hizo nilizokutajia sio unachukua dawa lita moja inauzwa elf 10 hapo ni hamna kitu.Hilo jani litakuwa limepitiwa na kitu gani...?
Asante sana mkuu sasa huyo mdudu kavutiwa na nini...au ni lazima tu angekuja?Hapo ni leafminer ,dawa yenye abamectin / emamectin inammaliza so unaweza piga dynamec/biotrine/balton abamectin etc ila chukua original molecules pekee kama hizo nilizokutajia sio unachukua dawa lita moja inauzwa elf 10 hapo ni hamna kitu.
Pia kuna dawa inaitwa Evisect inammaliza huyo mdudu.
Dawa yenye abamectin piga muda jua likiwa sio kali maana ina asili ya spirit ikipigwa na jua kali inapotea hewani.
Lazima awepo as kuna green grasses mkuuAsante sana mkuu sasa huyo mdudu kavutiwa na nini...au ni lazima tu angekuja?
Asante....mkuuuLazima awepo as kuna green grasses mkuu
Inatosha eka nakuzidi sn tenaInaweza kupanda heka...ngapi...hii
Mbona unashaur pumba tenaJomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Acha kuwehuka wwMbona unashaur pumba tena
Kwanini matuta umeyainua sana na ni membamba? Je kila tuta utapanda mistari mingapi? Utatumia njia gani kumwagilia?Mkuu asante sana...leo nimeanza rasmi harakati za kuandaa shamba...ila ni kama ki bustani...kwa mbegu nimenunua miche ili kukimbizana na hali ya mvua iliyopo dar...kipindi hiki
Andika vitu vya msingi kuna watu wanajifunza...kubwa jingaAcha kuwehuka ww
Kuoza kiuno ni damping off ugonjwa wa kuvu ambao hutibika kwa kupulizia fungicidesJomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Ungefanya hayo matuta upana kuwa sentimeta 30 ungeweza otesha mistari miwili kwa tutaView attachment 494181 hapo nikiwa namwagilizia...miche...hiyo ni siku moja baada ya kuipanda