Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Kuhusu kukauka kiuno huo ni ugonjwa kuna wadudu wapo mashambani ndio wanaofanya hiyi kazi hasa kwenye mashamba ambayo yaliwahi kupandwa mazao mengine muda mfupi kabla ya kupanda nyanya.
 
Kuhusu kukauka kiuno....huo ni ugonjwa kuna wadudu wapo mashambani....ndio wanaofanya hiyi kazi...hasa kwenye mashamba ambayo yaliwahi kupandwa mazao mengine...muda mfupi kabla ya kupanda nyanya.
Huku kwetu ukitaka mbegu nzuri ni kuagiza kenya angalau wako na uhakika ,soko la mbegu kiujumla limevamiwa sijui labda huko uliko mkuu
 
Huku kwetu ukitaka mbegu nzuri ni kuagiza kenya angalau wako na uhakika ,soko la mbegu kiujumla limevamiwa sijui labda huko uliko mkuu
Kuna kampuni...nimeisahau jina...ila wapo...arusha mbegu zao ni za uhakika...mkuu..na Wanatoa maelekezo bure...
 
miche umenunua wapi, mmoja kiasi gani na ni ya aina gani ~asila, anna.. ?
9843d5e3129fb8e03ace4d8868c148bc.jpg
96650773c67d8dcfdbb771604658307a.jpg

Hapo nikiwa teyari nimesha ipanda miche...nilinunua mingi...kama 700 na usheee...naikakosa pa kuiweka kutokana na udogo wa eneo...pichani utaona imebanana kidogo...
 
IMG_20170411_125547_013.jpg
hapo nikiwa namwagilizia...miche...hiyo ni siku moja baada ya kuipanda
 
Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
Hilo jani litakuwa limepitiwa na kitu gani...?
 

Attachments

  • IMG_20170424_121409.jpg
    IMG_20170424_121409.jpg
    225.9 KB · Views: 171
Hilo jani litakuwa limepitiwa na kitu gani...?
Hapo ni leafminer ,dawa yenye abamectin / emamectin inammaliza so unaweza piga dynamec/biotrine/balton abamectin etc ila chukua original molecules pekee kama hizo nilizokutajia sio unachukua dawa lita moja inauzwa elf 10 hapo ni hamna kitu.
Pia kuna dawa inaitwa Evisect inammaliza huyo mdudu.
Dawa yenye abamectin piga muda jua likiwa sio kali maana ina asili ya spirit ikipigwa na jua kali inapotea hewani.
 
Hapo ni leafminer ,dawa yenye abamectin / emamectin inammaliza so unaweza piga dynamec/biotrine/balton abamectin etc ila chukua original molecules pekee kama hizo nilizokutajia sio unachukua dawa lita moja inauzwa elf 10 hapo ni hamna kitu.
Pia kuna dawa inaitwa Evisect inammaliza huyo mdudu.
Dawa yenye abamectin piga muda jua likiwa sio kali maana ina asili ya spirit ikipigwa na jua kali inapotea hewani.
Asante sana mkuu sasa huyo mdudu kavutiwa na nini...au ni lazima tu angekuja?
 
Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Mbona unashaur pumba tena
 
Marafiki wa ukweli hao....ukiwatunza nao wanakutunza
 

Attachments

  • IMG_20170426_173705.jpg
    IMG_20170426_173705.jpg
    174.9 KB · Views: 179
Mkuu asante sana...leo nimeanza rasmi harakati za kuandaa shamba...ila ni kama ki bustani...kwa mbegu nimenunua miche ili kukimbizana na hali ya mvua iliyopo dar...kipindi hiki
561e08bde57d5e23f0f6f3cf5fe8f794.jpg
c98b6e5aebd0d91e1b72333614ab5089.jpg
a75bcef616f875d94421333373805aa7.jpg
Kwanini matuta umeyainua sana na ni membamba? Je kila tuta utapanda mistari mingapi? Utatumia njia gani kumwagilia?
 
Jomba kama unaweza kwenda sokoni nenda kachague nyanya mshumaa zilizoiva vizuri kisha toa mbegu zikaushe na usie mwenyewe nilikua nanunua mbegu lkn aina ya mbegu ni tofauti na iliyoandikwa kwa packet na zakununua madukani nyingi zinaota kabla hujaamisha znakauka kiuno...tengeneza mbegu peke yako znaota vizuri tuu ukipata nyanya nzuri
Kuoza kiuno ni damping off ugonjwa wa kuvu ambao hutibika kwa kupulizia fungicides
 
Back
Top Bottom