Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Zinazotolewa matawi ni nyanya fupi ambazo hurefu hazizidi mita 1.5 sasa kwa matunda huzaliwa kila baada ya cm15 au 20 (std) hivyo ukitoa matawi kwa mche wa kurefuka 1.5m inamaana itakua na vichane 6 tu ,ukiacha matawi inamaana kila tawi likikua vichane 6 ikiwa matawi manne tu unachane roughly 24,kila kichane kikiwa na matunda manne hapo ni matunda 96 (kg 12 roughly per plant)
Kwa nyanya ndefu inakua tu haina mwisho hivyo utavuna mpaka useme basi maana inafika mpaka mita 8 .
Kwahiyo mwenye nyanya fupi akitoa matawi kapunguza mavuno ila mwenye nyanya ndefu anatoa matawi abakiwe na moja au mawili atakayoeza kuyahudumia vyema .

Nyanya fupi inaitwa fupi sababu kuna urefu ikifika inaweka matunda ya mwisho
Kwahiyo mkuu hizi nyanya fupi hutushauri kuto kuzipunguza matawi
 
Asante vip kwa uzoefu wako mwezi gani nioteshe kitalu ambacho ntakuja kuvuna mwezi gani ambao nyanya huwa dili
Kilimo sio rahisi hivyo ndugu ,kila mtu kwa kufuata tu tarehe apate hela ,kikubwa tafuta soko kwanza kisha utazalisha kulingana na huko utakako uza wewe ,hapo kujipa utofauti na wengine ,soko ndilo la kumaanisha faida au hasara
 
Kilimo sio rahisi hivyo ndugu ,kila mtu kwa kufuata tu tarehe apate hela ,kikubwa tafuta soko kwanza kisha utazalisha kulingana na huko utakako uza wewe ,hapo kujipa utofauti na wengine ,soko ndilo la kumaanisha faida au hasara
Naomba usaidie hivi kwenye udongo wa kichanga kabisa...kama ule wa baharini...nikijitahidi nikapata samadi nyingi naweza kupata mazao mazuri...maji yapo 24/7
 
Naomba usaidie hivi kwenye udongo wa kichanga kabisa...kama ule wa baharini...nikijitahidi nikapata samadi nyingi naweza kupata mazao mazuri...maji yapo 24/7
Kama unaweza pata samadi kiasi cha ndoo moja kwa sqm 1 yaani unapana mita 1 na urefu mita 1 inatosha kabisa kukupa mazao bora pia kuupa udongo wako uwezo wa kutunza maji ,kama huwezi pata samadi kiasi hiko basi weka kiasi ulichonacho na utumie na mbolea za kiwandani
 
Kama unaweza pata samadi kiasi cha ndoo moja kwa sqm 1 yaani unapana mita 1 na urefu mita 1 inatosha kabisa kukupa mazao bora pia kuupa udongo wako uwezo wa kutunza maji ,kama huwezi pata samadi kiasi hiko basi weka kiasi ulichonacho na utumie na mbolea za kiwandani
Asante...ila kaka kwenye hii bustani yangu baadhi ya vitumba vinavyoleta maua kimoja kina kauka...siju tatizo ninini hapo
 
d3463bc14524fa5196662ef351d76dd1.jpg
 
Asante...ila kaka kwenye hii bustani yangu baadhi ya vitumba vinavyoleta maua kimoja kina kauka...siju tatizo ninini hapo
Unaweza tuma picha inaweza kua ukosefu wa madini hususani ya calcium ,maji machache ,wadudu (thrips) au ukungu picha kidogo itanipa mwanga ila je umeweka can? Unanyesha vyema? Umepiga dawa gani ya wadudu !? Umepiga dawa za ukungu zenye kiuatilifu cha azoxystrobin/difenoconazole/propamocarb etc yaani tofauti na mancozeb na metalaxyl ?
 
Unaweza tuma picha inaweza kua ukosefu wa madini hususani ya calcium ,maji machache ,wadudu (thrips) au ukungu picha kidogo itanipa mwanga ila je umeweka can? Unanyesha vyema? Umepiga dawa gani ya wadudu !? Umepiga dawa za ukungu zenye kiuatilifu cha azoxystrobin/difenoconazole/propamocarb etc yaani tofauti na mancozeb na metalaxyl ?
7059c9a2100690fa05daf4f7507ac5c1.jpg
eb9d8c9939c09aec147b08552498fd3f.jpg

Hizo ndio dawa pekee nilizo piga
83e2198cd0b0a73b477a5c62c5b036bd.jpg

Maji huwa namwagia mara mbili kwa siku...ila nilisimama kwa siku kadhaa kutona na mvua zinazonyesha
 
Back
Top Bottom