Msaada kuhusu tatizo la koo kuhuma (persistent sore throat)

Msaada kuhusu tatizo la koo kuhuma (persistent sore throat)

Kansa umepima?
Sijapima mkuu...kuna dr mmoja niliwai kumuuliza kuhusu life span ya Mtu mwenye kansa ya koo ambaye bado ajawa diagnosed akasema miezi 5 kufika ni ngumu lazima hali yake itakuwa mbaya but ayo ni maoni yake lakini mimi nitafanya kama ulivyoshauri..
 
Kansa umepima?
Hili nalo muhimu kucheki saratani ya koo kwa oncologist.

Au amuone specialist wa PUA, KOO na SIKIO.

Wanaitwa ENT doctor (Ear, Nose and Throat specialist doctor) au otolaryngologist.
 
1.Wewe ni kiwanda cha acid kinachotembea.

Kiwanda kipo tumboni kinatoa nnje kikimaliza kuproduce ndy kasheshe zinaanza hizo.

2.Allegy
3.Muhimu ukaenda kupima kansa pia ya koo ila punguza stress mzee.

Nb.Ni experience yangu na ugonjwa wa gastrointestinal acid reflux ulio nifanya nione tabu hii dunia.( kwa hiyo no.1)
 
1.Wewe ni kiwanda cha acid kinachotembea.

Kiwanda kipo tumboni kinatoa nnje kikimaliza kuproduce ndy kasheshe zinaanza hizo...
Asante mkuu unaweza Kushare dawa au mbinu uliyotumia mpaka ukapona
 
Kuna mdau kasema inaweza kuwa allergy inawezekana kabisa.
Ilishanitokea sababu ya allergy ya perfumes na deodorant ilikuwa nikitumia tu koo inakaba nameza vitu kwa shida.
Kooni wakati wote kama kuna kikoozi au kitu kinakaba, vinjwaji na chakula unameza kwa shida.
Nikaacha kutumia vitu hivyo na naitumia sana black seed na ginger kama dawa ya allergy ya asili.
 
Nilishapima zaidi ya mara 5 negative
Amka asubuhi saa kumi na Moja au kumi na mbili,,chukua kopo safi kubwa hata maji la uhai au Kilimanjaro,kojoa mkojo wa Asubuhi ule halafu kunywa wote!au glass Moja!rudia process kwa siku saba!!
Utanishukuru baadae!!

Wadudu au kemikali inayoshambulia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula watakufa na kemikali kama hydrogen chloride gass inayosababisha kiungulia itatoweka!!


Jaribu!

"If there is nothing we can do,let's try an alternative"! Bern carson,an expert in hemispherectomy and neuro-surgeon doctor!
 
Amka asubuhi saa kumi na Moja au kumi na mbili,,chukua kopo safi kubwa hata maji la uhai au Kilimanjaro,kojoa mkojo wa Asubuhi ule halafu kunywa wote!au glass Moja!rudia process kwa siku saba!!
Utanishukuru baadae!!

Wadudu au kemikali inayoshambulia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula watakufa na kemikali kama hydrogen chloride gass inayosababisha kiungulia itatoweka!!


Jaribu!

"If there is nothing we can do,let's try an alternative"! Bern carson,an expert in hemispherectomy and neuro-surgeon doctor!
Mmmmh mbona hatarii hii
 
Habari ndugu zangu wa JF ..kama heading inavyojieleza naomba msaada wenu kwa ushauri najua JF ina kila aina ya watu nimeamua Nije apa kwakuwa nina amini hii ni nyumba ya kila kitu.

Tatizo langu la koo kuhuma lilianza takribani miezi 6 iliyopita..Nilianza kusikia maumivu ninapomeza chakula,shida kumeza mpaka nisukumie na maji hiyo condition ilienda kama siku 5 baadae ikatoweka. Nikaanza kusikia kitu kama kimekwama kooni ila nikikimeza akimezeki nayo ikaa kama wiki1 then ikaondoka iyo hali.

Nilienda hospitali nikaonana na Dokta nilivyomuelezea akaniandikia dawa za kumeza moja wapo ni Ampliclox nikatumia mpaka zikaisha lakini tatizo linaenda na kurudi mpaka muda huu ninaleta thread apa limekuja tatizo lingine ambalo ni kupaliwa yani nikiongea kama dk1 ivi lazima nipaliwe.

Koo bado linauma na nikiongea au kukaa tu hali ya kupaliwa uja ghafla naomba msaada wenu wa ushauri na mawazo nini cha kufanya ili nijue kinachonisibu ..Asanteni..naomba mnisamehe kwa thread ndefu..
Habari yako Mkuu?Pole kwa maradhi ya koo kuuma nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Back
Top Bottom