profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Tia Chumvi kiasi fulani yanafanya kuondoa utelezi na yaweza kukaa muda mrefu bila kuzalisha waduduWakuu,kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3,nimeona nihifadhi maji ya mvua
Tatizo yana utelezi fulani mwilini,minapooga,je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi?,msaada tafadhali.
Inategemea ameyakingaje, labda kama bati lilikuwa chafu au kutuWeka dawa ya maji ,pia usitumie katika kunywa ni hatari Sana .
kuna ukame na uhaba wa maji kwye mito ndo maana Dawasco hawana maji.Asubuhi nimefungua bomba bado limenuna....
Siyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi.Wabongo bhana. Siyo utelezi. Hayo kitaalamu yanaitwa maji laini. Ni maji yasiyokuwa na chumvi, ndo maana ukitumia sabuni povu linakuwa jingi, maji mengine laini ni ya mitoni. Maji magumu yanakuwa na chumvi ndo maana sabuni hazitoi povu mfano maji ya Dodoma au ya visima vifupi.
Sasa unapoweka chumvi maana yake unayafanya kuwa magumu.
Maji laini yana umuhimu wa kwanib husaidia kutumia sabuni kidogo na kuto kuuchakaza nguo.
Kwann uweke chumvi. Yalivyo hivyo laini ni bora zaidiSiyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi.
Nina swali mfano maji lita 3000 chumvi naweka kiasi gani?
maji ya mvua yakitekwe vyema na kuhifadhiwa kwa ustadi wala haya hatari kuyanywa ukilinganisha na haya ya bombaWeka dawa ya maji ,pia usitumie katika kunywa ni hatari Sana .
Aaaah??? Maji yanautelezi! Kwahiyo unapata raha ya bure!Wakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua
Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.
Labda mazoea.Wakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua
Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.
DuhSiyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi.
Nina swali mfano maji lita 3000 chumvi naweka kiasi gani?
Sio kweli hayajawahi kuwa hatari.Weka dawa ya maji ,pia usitumie katika kunywa ni hatari Sana .
Vipi wananchi nao, wana upeo? Viongozi wanatokana na wananchi, wananchi kama wana upeo, wangeweza kuwashawishi viongozi wasio na upeo wafanye mambo kwa mantiki.kuna ukame na uhaba wa maji kwye mito ndo maana Dawasco hawana maji.
Mvua inanyesha kwenye majaruba na maji yanatitia[emoji1787][emoji1787]
Hii nchi imelaaniwa kwa kuwa na viongozi wasio na upeo
We Kama ni strong sawa. Upo sahihi Ila maji ya mvua sio salama kwa kunywa labda kuogea na kufuaSio kweli hayajawahi kuwa hatari.