Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Ukiyanywa lazima mbeleni upate tatizo la kifuaWe Kama ni strong sawa. Upo sahihi Ila maji ya mvua sio salama kwa kunywa labda kuogea na kufua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiyanywa lazima mbeleni upate tatizo la kifuaWe Kama ni strong sawa. Upo sahihi Ila maji ya mvua sio salama kwa kunywa labda kuogea na kufua
Kunywa hatar yake Ni ipiWeka dawa ya maji ,pia usitumie katika kunywa ni hatari Sana .
Matatizo hayo yanasababishwa na nn mkuuUkiyanywa lazima mbeleni upate tatizo la kifua
Mvua inaposhuka hukutana na gesi nyingi angani hivyo zinajichanganya kwa kiasi fulani kwenye tone la maji......Matatizo hayo yanasababishwa na nn mkuu
Maji ya mvua yanaweza kuwa salama kuliko hayo ya bomba. Umewahi fuatilia mfumo wa mabomba ya maji yanapotoka mpaka yanapokufikia. Yanakatiza huko kwenye jalala, mitaro n.k. Vipi kuhusu vyanzo vya hayo maji, mfano kanda ya ziwa wanayatoa ziwa victoria ambalo ndo dumping site ya nchi zinazozunguka hilo ziwa. Mengine yanatolewa kwenye mito ambayo pembezoni kunashughuli za kilimo ambazo wanatumia sumu za kila aina. So hatari ya maji ya mvua yaweza kuwa ndogo kuliko hayo ya bomba. Maji ya mvua yanaweza chafuka iwapo bati lako ni chafu au linakutu. Hizo acids sidhani kama zinaishu sana coz tunazinywa ata kwemye soda na kachumbari.Mvua inaposhuka hukutana na gesi nyingi angani hivyo zinajichanganya kwa kiasi fulani kwenye tone la maji......
Sasa tupo kwenye peak ya uchafuzi wa mazingira hususan hewa za sumu kutoka viwandani na mashine za kila siku.
Ni hayo tu mkuu
Watu wabishi SanaMaji ya mvua yanaweza kuwa salama kuliko hayo ya bomba. Umewahi fuatilia mfumo wa mabomba ya maji yanapotoka mpaka yanapokufikia. Yanakatiza huko kwenye jalala, mitaro n.k. Vipi kuhusu vyanzo vya hayo maji, mfano kanda ya ziwa wanayatoa ziwa victoria ambalo ndo dumping site ya nchi zinazozunguka hilo ziwa. Mengine yanatolewa kwenye mito ambayo pembezoni kunashughuli za kilimo ambazo wanatumia sumu za kila aina. So hatari ya maji ya mvua yaweza kuwa ndogo kuliko hayo ya bomba. Maji ya mvua yanaweza chafuka iwapo bati lako ni chafu au linakutu. Hizo acids sidhani kama zinaishu sana coz tunazinywa ata kwemye soda na kachumbari.
Fafanua mkuu, nakutegemea wewe ndo ungekuwa muelewa zaidi kwenye hiliWatu wabishi Sana
Fafanua mkuu, nakutegemea wewe ndo ungekuwa muelewa zaidi kwenye hili
Fafanua, ni hatari kwa nini?Weka dawa ya maji ,pia usitumie katika kunywa ni hatari Sana .
Kwenye chemistry hujasoma kuhusu hard water [emoji97]?Siyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi.
Nina swali mfano maji lita 3000 chumvi naweka kiasi gani?
Leta science behind Dr. Tunakutegemea kwenye hiloWewe tatizo lako hupendi kujifunza na kupata ABC kutoka kwa wahanga.
Nmemuuliza pia hilo swaliFafanua, ni hatari kwa nini?
Exactly [emoji1666] [emoji1666] majuzi nilikuwa shamba, nikaishiwa maji ya chupa zile chupa kubwa za 10 lts... Kijiji kizima maji ya bomba hayatoi maji, wanaenda kuchota kwenye visima vyenye maji machafu sana na mvua zinanyesha. Baada ya mvua kunyesha kutwa nzima na kuhakikisha bati liko safi nikakinga maji ya mvua na kuyahifadhi kwenye madumu masafi yenye mfuniko. Nimetumia fresh kabisa kunywa na kuogea..maji ya mvua yakitekwe vyema na kuhifadhiwa kwa ustadi wala haya hatari kuyanywa ukilinganisha na haya ya bomba
Cc. @Malaria_SuguWakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua
Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Labda mazoea.
Mi natumia maji ya mvua zaidi ya miaka 12, sioni shida.
Navuna kwenye kisima na kupandisha juu kwenye tenki kisha hushuka chini kwenye mabomba.
Familia haijawahi pata magonjwa yoyote
Nakunywa lakini nachemsha, na kufanyia kila kila kitu.
Yakija ya bomba wakati wa kiangazi, huwa naona kama yana chumvi....magumu, huwa siyapendi.
Mara chache huweka water guard kwenye kisima.
Nimetoa mfano hapo juu kwamba kijiji kizima hakina maji ya bomba, lakini huko nyuma mfumo wa maji uliotengenezwa kwa kujenga tenki na mitandao ya mabomba, haufanyi kazi sababu ya uongozi mbovu. Hivyo wananchi wanatumia maji ya kisima ambayo ni machafu sana na pia hata maji ya mvua hawataki kuyakinga...Vipi wananchi nao, wana upeo? Viongozi wanatokana na wananchi, wananchi kama wana upeo, wangeweza kuwashawishi viongozi wasio na upeo wafanye mambo kwa mantiki.
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Toa sababu why siyo salama? Huwezi tuu kusema siyo salama with no evidence..We Kama ni strong sawa. Upo sahihi Ila maji ya mvua sio salama kwa kunywa labda kuogea na kufua
Ingia website ujifunze zaidi..Watu wabishi Sana
wanaoishi vijijini uchafuzi wa hewa unatoka wapi na viwanda hamna,ni miti tu na milima.Mvua inaposhuka hukutana na gesi nyingi angani hivyo zinajichanganya kwa kiasi fulani kwenye tone la maji......
Sasa tupo kwenye peak ya uchafuzi wa mazingira hususan hewa za sumu kutoka viwandani na mashine za kila siku.
Ni hayo tu mkuu