Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kumbe jibu unalo. Mjini ndo jauwanaoishi vijijini uchafuzi wa hewa unatoka wapi na viwanda hamna,ni miti tu na milima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe jibu unalo. Mjini ndo jauwanaoishi vijijini uchafuzi wa hewa unatoka wapi na viwanda hamna,ni miti tu na milima.
Watanzania wanaongoza kwa ubishi,achana nao.Watu wabishi Sana
Maji ya mvua ambayo sio salama ni yale ya mvua ya kwanza, tunashauriwa tusikinge mvua ya kwanza kwasababu yanakuwa na uchafu wa bati.Toa sababu why siyo salama? Huwezi tuu kusema siyo salama with no evidence..
Anga halipo clossed if that is the case. Nadhani Uneona povu lililoenda kuangukia Useriver Arusha wakati sabuni ilimwagikia morogoro.Kumbe jibu unalo. Mjini ndo jau
Nyie ndo wabishi msiokuwa na factsWatanzania wanaongoza kwa ubishi,achana nao.
Mkuu kwa mujibu wa wanamazingira wanasema anga likishajaa mahewa ya sumu ni rahisi mvua yenye kemikali hatari ikanyesha.Anga halipo clossed if that is the case. Nadhani Uneona povu lililoenda kuangukia Useriver Arusha wakati sabuni ilimwagikia morogoro.
OkMkuu kwa mujibu wa wanamazingira wanasema anga likishajaa mahewa ya sumu ni rahisi mvua yenye kemikali hatari ikanyesha.
Kikubwa tutunze mazingira
Kule vijijini au maeneo yenye kuzingirwa na miti mingi hatari hupungua kwa sababu miti husaidia kusafisha hewa.... lakini kwa mfano mtu anaishi jirani na kiwanda cha wazo cement, halafu kuna wakati kiwanda kinawasha mtambo wa zamani kukamua saruji kisha mvua inanyesha na jamaa wanakinga maji ya mvua..... kuna hatari hapo
Habari mkuu.kwangu nahifadhi lita 47,000 elfu za maji ya mvua na hayana utelezi na hakuna dawa imewekwa mwaka pili
ishu kubwa zuia mwanga wa jua usipenye
hata kama ni jaba hakikisha unafunika vizur kuzuia hewa na mwanga kuingia
asante
Soma hapoNyie ndo wabishi msiokuwa na facts
Mnaishi maeneo Gani nyie mbona mnateseka sana? Huku maji tunayaacha tu yanamwagika tuUtelezi hautoki! Mimi nimetia chumvi kuzuia yasioze kuweka wadudu
Asubuhi nimefungua bomba bado limenuna....
Mambo Agano,Wakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua
Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.
Mkuu hayo maji anayosema jamaa ni kwamba yameharibika , yana wadudu. Mwambie ukweli usijikite tu kwenye maji kuwa sijui kuwa magumu au laini. Maji ya mvua bila kuwa treated yanaharibika haraka sana mkuu.Kwann uweke chumvi. Yalivyo hivyo laini ni bora zaidi
Hapana, amesema maji ya mvua, it means fresh hajasema maji ya mvua aliyohifadhi kwa muda mrefuMkuu hayo maji anayosema jamaa ni kwamba yameharibika , yana wadudu. Mwambie ukweli usijikite tu kwenye maji kuwa sijui kuwa magumu au laini. Maji ya mvua bila kuwa treated yanaharibika haraka sana mkuu.
Unajua soda ina pH ya ngapi? Vipi ile kachumbari ya mtaani unajua ina pH ndogo zaidi ya hiyo. Hiyo pH haiwezi kufanya hayo maji kutokufaa kwa matumizi coz tunatumia pia vitu vyenye pH ndogo zaidi ya hiyo. Ndiyo maana kwemye supu mtu anatia limao.