Msaada: Kuondoa utelezi maji ya mvua

Msaada: Kuondoa utelezi maji ya mvua

Wakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua

Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.

Siku nyingine usitumie neno UTELEZI

you know what I mean
 
Wakuu, kutokana na maji ya bomba ya dawasa kutoka kwa muda wa lisaa limoja tu kwa kila miezi 3, nimeona nihifadhi maji ya mvua

Tatizo yana utelezi fulani mwilini mimi napooga, je njia rahisi ya kuondoa huo utelezi ni ipi? Msaada tafadhali.
Kama yana utelezi hayana shida muhimu haunywi mwapikia tu
 
Mvua inaposhuka hukutana na gesi nyingi angani hivyo zinajichanganya kwa kiasi fulani kwenye tone la maji......

Sasa tupo kwenye peak ya uchafuzi wa mazingira hususan hewa za sumu kutoka viwandani na mashine za kila siku.

Ni hayo tu mkuu
pia kwenye hewa kuna chembechembe ndogo sana za plastiki zinaitwa microplastic mvua inaponyesha zinachanganyika na maji ya mvua ndo maana hayatakiwa ktumika kunywa, zinasababisha kansa, mvurugiko wa homoni nk.
 
Dawa ni moja tu,
Hakikisha hayapati mwanga wa jua(do not expose rain water to direct sunlight).

Utakaa na maji ya mvua hata mwaka. Huna haja ya kuweka dawa yoyote, hayaozi, kunuka wala kuteleza.
 
We Kama ni strong sawa. Upo sahihi Ila maji ya mvua sio salama kwa kunywa labda kuogea na kufua
Toa sababu za kitaalam na kiafya, navona maji ya mvua for years hata siku moja hakuna aliyeumwa kwa sababu ya maji.
 
Habari mkuu.
Unaposema mwanga na hewa isiingie huoni si sahii? Je tank linapumulia wapi? Maana linapojaa bila kuruhusu yamwagike lazima utasababisha tank kupasuka.
Tundu kidogo kwa ajili ya overflow ni muhimu. Muhimu ni kutoacha sehemu kubwa kwa ajili ya mwanga na hewa.
Ila usiseme mwanga na hewa visiingie.

Asante.
juu ya tank unaweka mfuniko kwa ajili ya kuchota

maji yana gas kwani? mpaka ipasuke
 
juu ya tank unaweka mfuniko kwa ajili ya kuchota

maji yana gas kwani? mpaka ipasuke
Hapana hayana gas. Mgandamizo mkubwa wa maji hupasua tank. Liquid, gas, solid is just a state and anything in excess can cause fartality.

Mfuniko wa tank nao si unaingiza hewa na mwanga?
 
Hapana hayana gas. Mgandamizo mkubwa wa maji hupasua tank. Liquid, gas, solid is just a state and anything in excess can cause fartality.

Mfuniko wa tank nao si unaingiza hewa na mwanga?
hewa tu ipo njia ya napoingilia na yanapozid humwagikia ndo inatosha kwa ajili ya hewa


adui wake ni jua tuuu mwanga
 
Siyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi.
Nina swali mfano maji lita 3000 chumvi naweka kiasi gani?
pls naomba unicheck pm
 
Back
Top Bottom