Msaada kwa wenye Ujuzi na uelewa kuhusu policy za warranty za electronic devices

Msaada kwa wenye Ujuzi na uelewa kuhusu policy za warranty za electronic devices

Gifted

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
476
Reaction score
852
Habari za wakati huu wana Jf.
Kuna issue imenitokea week iliyopita nimeenda kariakoo kununua Smart tv TCL inch 32 Tshs 380000; imejaribiwa ikawaka vizuri nikafanya malipo nikaondoka. Kufika nyumbani nimeiwasha nimeunganisha wifi nacheki video youtube ikazima yenyewe, Yaani taa nyekundu upande wa nyuma inawaka ila Tv haipokei moto.

Nimeirudisha dukani wakanibadilishia nyingine kufika nyumbani issue ni ile ile.nimeirudisha tena wakaniambia tv ya mwanzo imekufa Tv card na hiyo ya pili itakuwa ni card pia. Hivyo hilo suala sisi halituhusu hatuwezi kubadilisha tv nyingine wewe ndo umearibu,nimewaambia wanipe card service niende tcl wamegoma. Nimekosa cha kufanya ndugu zangu nahitaji msaada wenu kwa wenye uelewa niokoe hela yangu
 
Mods uzi wangu mmehuamisha umekosa wachangiaji
 
Habari za wakati huu wana Jf.
Kuna issue imenitokea week iliyopita nimeenda kariakoo kununua Smart tv TCL inch 32 Tshs 380000; imejaribiwa ikawaka vizuri nikafanya malipo nikaondoka. Kufika nyumbani nimeiwasha nimeunganisha wifi nacheki video youtube ikazima yenyewe, Yaani taa nyekundu upande wa nyuma inawaka ila Tv haipokei moto.

Nimeirudisha dukani wakanibadilishia nyingine kufika nyumbani issue ni ile ile.nimeirudisha tena wakaniambia tv ya mwanzo imekufa Tv card na hiyo ya pili itakuwa ni card pia. Hivyo hilo suala sisi halituhusu hatuwezi kubadilisha tv nyingine wewe ndo umearibu,nimewaambia wanipe card service niende tcl wamegoma. Nimekosa cha kufanya ndugu zangu nahitaji msaada wenu kwa wenye uelewa niokoe hela yangu
Hiyo TV walikupa warranty?
Kama walikupa ni Kwa mdomo au maandishi ?
Kama unayo risiti na warranty ya maandishi unakuwa na haki yakudai, ila kama huna utapoteza muda wako.
 
Warranty nyingi zina cover manufacturing defects only.
Yaani kosa la mtengenezaji tu.

Mfano ukinunua simu samsung halafu ikadondoka na kuvunjika kioo hapo warranty haikusaidii. Ama ukafika nayo nyumbani kwako ukaichaji ikabutuka. Warranty inakukataa.

Kwenye kesi ya tv yako soma kwanza warrany yako terms zimeandikwaje
 
Hiyo TV walikupa warranty?
Kama walikupa ni Kwa mdomo au maandishi ?
Kama unayo risiti na warranty ya maandishi unakuwa na haki yakudai, ila kama huna utapoteza muda wako.
Risiti ninayo ya maandishi,na card ya warranty
 
Risiti ninayo ya maandishi,na card ya warranty
Me naona ni tatizo labda la mifumo ya umeme kwa hizo tv.. we nenda zako police na hio warranty na risiti, wakurudishie hela, usikubali tv nyingine, then komaa ununue samsung, ukishindwa chukua LG, achana na low quality product from that country of Asia !
 
Kwanza nakushauri uwe unatumia Stabilizer maana umeme wa Tanesco unacheza sana

Pili hizi local brand warrant zao zinakuwaga za magumashi we koma tu wakupe pesa yako
 
Sasa unanunua TCL then unataka warranty, hayo madude ya kichina huwa tunanunua tu na kuondoka bila kuomba warranty kwa sababu hazinaga uhakika. Ukitaka masuala ya warranty na nini nenda maduka authorized ya Samsung au Sony
 
Me naona ni tatizo labda la mifumo ya umeme kwa hizo tv.. we nenda zako police na hio warranty na risiti, wakurudishie hela, usikubali tv nyingine, then komaa ununue samsung, ukishindwa chukua LG, achana na low quality product from that country of Asia !

Polisi hawahusiki kwenye kesi ya madai
 
Back
Top Bottom