Msaada: Leseni ya madini na gharama yake

Msaada: Leseni ya madini na gharama yake

madini ni sehemu tu... mimi nashughulika na mambo ya ardhi kwa ujumla wake..
Ok ....najua unazunguka sana na unakutana na mambo kama hayo
Sema kwa tz asilimia kubwa wanaogundua madini ni wafugaji,wakulima,wakata mbao ktk maeneo tofauti tofauti nchini

Ova
 
Ok ....najua unazunguka sana na unakutana na mambo kama hayo
Sema kwa tz asilimia kubwa wanaogundua madini ni wafugaji,wakulima,wakata mbao ktk maeneo tofauti tofauti nchini

Ova
nikweli... vipi una jishughulisha na hii biashara?
 
una dili na aina gani ya madini mkuu? una migodi...? wateja wako ni wakina nani hasa?
Mara nyingi huwa nanunua na kuuza kuchimba Ilikuwa zamani,kuchimba unachelewa alafu inahitaji mtaji mkubwa na garama znakuwa nyingi tu
Na real na felsper Aina zote,gold n shine
Mawe ya gairo etc,na saphire za kilosa,saphire za mkalamo,tanga,ruby caboshon za moro na sehemu zingine...
Wanunuzi wangu wengi wajubwa ni Kutoka jaipur,india......na wachina,wathai kdg pia

Ova
 
Leseni ya kununua na kuuza inaitwa Broker licence unaanzia halmashauri unachukua fomu ya leseni unajaza unaenda nayo TRA wanakukadiria kodi unalipia robo wanakupa tin na tax clearance certificate unatoa copy na kitambulisho na passort picha 3 unaenda madini unaomba form ya kuomba broker licence unapewa akaunti ukalipie 250,000/= naada ya kupeleka deposit slip unawapa siku moja unapewa fasta. auina ya madini unaandika yoyote usiandike dini maalumu mfano unataka tanzanite andika all gemstones ,unataka dhahabu weka all precious metals ,the wellcome to the business

Fomu ya halmashauri hii hapa Barakaconsult.com

NB: Kama unataka ya kuchimba kwa sasa zimesitishwa hadi itapoundwa tume ,usiskize maneno ya watu serikali iko so sapportive kwenye hii biashara ilimradi ufuate sheria tu na uwe na maarifa ya kutosha juu ya madini uliyoamua kufanyia kazi ,kama unaswali lolote usinifate inbox ulizia hapa hapa wafaidike vijana wengi.
Uko vizuri ndugu,asante sana.
 
Hbr zenu wadau naomba msaada wa kujua leseni ya kusafirisha mchanga wa kujengea.. jee kuna vibali au hatua yoyote ya kufuata ili nisisumbuliwe na hii biashara.
Naleta kwenu kwa hatua..
20181013_173713.jpeg
 
Hbr zenu wadau naomba msaada wa kujua leseni ya kusafirisha mchanga wa kujengea.. jee kuna vibali au hatua yoyote ya kufuata ili nisisumbuliwe na hii biashara.
Naleta kwenu kwa hatua..View attachment 899716
Kadi ya chama pendwa unayo? Kama jibu ni ndiyo basi nenda kapakie mchanga ukiwa kifua mbele
 
Leseni ya kununua na kuuza inaitwa Broker licence unaanzia halmashauri unachukua fomu ya leseni unajaza unaenda nayo TRA wanakukadiria kodi unalipia robo wanakupa tin na tax clearance certificate unatoa copy na kitambulisho na passort picha 3 unaenda madini unaomba form ya kuomba broker licence unapewa akaunti ukalipie 250,000/= naada ya kupeleka deposit slip unawapa siku moja unapewa fasta. auina ya madini unaandika yoyote usiandike dini maalumu mfano unataka tanzanite andika all gemstones ,unataka dhahabu weka all precious metals ,the wellcome to the business

Fomu ya halmashauri hii hapa http://barakaconsult.com/uploads/LESENI_YA_BIASHARA_en.pdf

NB: Kama unataka ya kuchimba kwa sasa zimesitishwa hadi itapoundwa tume ,usiskize maneno ya watu serikali iko so sapportive kwenye hii biashara ilimradi ufuate sheria tu na uwe na maarifa ya kutosha juu ya madini uliyoamua kufanyia kazi ,kama unaswali lolote usinifate inbox ulizia hapa hapa wafaidike vijana wengi.
TRA wanakukadiriaje kodi ilhali hujaanza biashara wala hujui turn over yake itakuaje?
 
Kivyako umenifunga upepo hapo kimtindo hapo unamaanishaje kwenye hii biashara ina siasa ndani yake au ni ngumu kiasi fulani..
Jee ukiwa na kadi pendwa itasaidia nini wakati bidhaa zitahitajia kodi.
Anyway kwa anaefahamu njia nyengine anijuze
 
Nashkuru kimemeta nimeielewa hiyo concept yako ya kuanzia halmashauri kuomba then kuendelea na procedures nyengine hadi kufikia huko ofisi za madini.. asanteni sana.
 
TRA wanakukadiriaje kodi ilhali hujaanza biashara wala hujui turn over yake itakuaje?
Kiwango cha kukadiriwa ni capital ambayo utaanza nayo. Hiyo ipo wazi huwezi ukafanya mchanganuo wa kodi mwenyewe..
Nadhani nitakua nimelijibu..
 
Back
Top Bottom