Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI