MSAADA: Mimi ni kijana mwenye 25 nina upungufu wa nguvu za kiume

MSAADA: Mimi ni kijana mwenye 25 nina upungufu wa nguvu za kiume

Simeone

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
905
Reaction score
1,002
Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
 
Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Pole , Swala la kulala huenda likasababishwa na vitu tofaut tofaut ikiwemo hicho,
Pili huenda unahofu(frastruation), either ya kumuogopa mwenz wako so au huenda ulifanya ikalala akakuuliza mbna imelala mda mrefu hii ni hataei kisaikolojia itakudistort.
Anza kufanya mazoez kuuweka mwili sawa and tumia ginger kwa wingi kila cku ikiwezekana mix na asali mbichi ,.Tumia karafuu, kula karato kwa wingi, mihogo mibichi, parachichi na watermelon,, Badili mwenza uone kama utakuwa fit after 2monthes,
 
Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Oa uachane na hiyo ugonjwa ila usitafute mlafi wa hiyo mambo utaishi maisha magumu mno,tafuta mvivu wa hiyo mambo na uache kabisa huo ujinga,utarudi siku kunishukuru🤣
 
449842866_319775017874061_8766485575206289283_n.jpg
 
Back
Top Bottom