Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ubingwa hana kaka, hata akioa labda wakae tu waangalie tamthilia😂😂😂😂Oa uachane na hiyo ugonjwa ila usitafute mlafi wa hiyo mambo utaishi maisha magumu mno,tafuta mvivu wa hiyo mambo na uache kabisa huo ujinga,utarudi siku kunishukuru🤣
Atulize akili na asiwe na hofu kama kuharibu alisha haribu,dawa kwanza ni kuacha kilicho sababisha uharibifu akili itakubali na ngoma itachezeka kama kawa na mcheza ngoma anayehisi hawezi tena kukucheza ngoma😅Tatizo mzigo haurespond kaka, hata akioa labda wakae tu waangalie tamthilia😂😂😂😂
😂😂😂😂HAUJUIIIInini 😂😂😂😂😂
Wewe huna tatizo, Bali una kumubukumbu za majuto ya punyeto, tumia mushroom kuondoa Hilo tatizoHabari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Nyokoo 😂😂😂 sigawi😂😂😂😂HAUJUIIII
Kwani utasema sasa ahahaha na bichw hilo 😂😂😂😂😂Nyokoo 😂😂😂 sigawi
Me nlianza kama utani tu mwisho nkawa gwiji nlianza mwaka 2015 nkiwa kidato cha pili had mwaka huu mwezi wa 3 baada ya kuona uume unazid kuwa na mdgo nkaanza kujikaza niache kbs ,hapo mwanzo nlkuwa nkiacha hata week haipiti narudia tena.mkuu we ulipiga kwa muda
Mkuu unafanya mazoezi gani?Me nlianza kama utani tu mwisho nkawa gwiji nlianza mwaka 2015 nkiwa kidato cha pili had mwaka huu mwezi wa 3 baada ya kuona uume unazid kuwa na mdgo nkaanza kujikaza niache kbs ,hapo mwanzo nlkuwa nkiacha hata week haipiti narudia tena.
Nlisema ngoja nideal tu demu na wangu ila ajabu nkawa nawahi kumalza afu hamu inakosa kbs, nlkuwa naumia sana ,kwa sasa ni angalau kdg najiskia sawa ingawa bdo sjarud kbs kwenye hal yangu ya mwanzo. Jitahd kbs uache nyeto na uwe unafanya mazoezi utakuwa sawa baada ya muda.
Nina ninapiga punyeto miaka 30 sasa, sijawahi kuwa na upungufu.Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Chaputa mrakibu mwandamizi/Senior Superintendent masterbator😀😀😀😀😀😀Sasa huyu anaisingizia nyeto tuu, mm nna miaka 21 ya kupiga nyeto na sijawahi kuumwa hayo mambo
Lishe na mazoezi tu hakuna dawa.Utakuwa na shida nyingine mkuu, jaribu kwenda hospital. Nyeto aihusiani na tatizo lako.
Anajua asitake kutuchuuza🤔😂😂😂😂HAUJUIIII
Aliona ni uwekezaji salama kabisa, na hauhitaji fedha nyingi(sabuni au mafuta Tu)Mkuu kwanini uliamua uwekeze kwenye nyeto?
Pole sana
Hicho kipindi chote hujawahi kua na demuHabari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASA
Kegel exercises push ups piah inaweka mwili kujiamini na mazoezi yyte ya mwili yanasaidia.Mkuu unafanya mazoezi gani?
Anatuchora tuu huyuAnajua asitake kutuchuuza🤔