MSAADA: Mimi ni kijana mwenye 25 nina upungufu wa nguvu za kiume

MSAADA: Mimi ni kijana mwenye 25 nina upungufu wa nguvu za kiume

Unataka udindishe kama kifaru ili ufaidike na nini!? BORO ndii ndiii ndiiii ndiiiii

Achana na kudindisha, jikite na mambo mengine kama biashara, kilimo n.k

Shida yako ilianza pale ulipoanza kufikiri una shida ya kudindisha, ndipo tatizo lilipoanzia.

Tatizo haliwi tatizo mpaka ulitengeneze kichwani.

Kuanzia sasa hivi anza kujifikiria kwamba wewe ni KIBOLO DINDA, kitombiwise, BORO NGA NGA NGA, utaona hata BORO lenyewe litaanza kuitikia WITO na KUDINDA IPASAVYO.

Ukiwaza wewe ni hanithi, rojorojo, bolo legevu, DUME PUNGA, hapo sasa BORO lako lazima lisinyae kweli kweli....!!

Shida sio BORO, shida ni kichwa chako.

BORO linaanzia kudinda kichwani halafu ndio linamalizia kwenye ABDALA KICHWA WAZI.

MDINDO UNAANZIA KWENYE BICHWA LAKO, so clear your mind and stop thinking about nonsense.

Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake cocastic
 
we unahofu tu anxiety inakusumbua kaa utulie kwanza kwa muda isiwe chini ya miezi mitatu fanya vitu vyengine chana na nyeto,au wanawake! kula vizuri lala vizuri.. kuna vitu umeshauliwa kula lkn vitakupa sana hamasa utarudi tena nyetoni kwataarifa yako! hakikisha unakunywa chai ya tangawizi kali sio yakirembo kwenye tangawizi weka asali,pia kama utaweza kula mdalasini mifumo ya homoni ikae sawa ila hivi vitu tumia kwa kiasi maana hehe!... vitakurudisha kulekule maana vinatengeneza upwiru haswa... ukizidiwa utajidofya tena..😃

ngoja niweke yote kwa faida ya wengine pia kama utaweza tafuta habat ya unga changanya kwenye uji kunywa kwenye huohuo uji unaweza kuweka mbegu za maboga itakuwa vyema ukipata unga wake! mwisho kula matikiti tafuna mbegu mpk tumbo liwe linalia tubwiiii....🤣
huko ni physically, psychologically ondoa wazo lakuwa wewe unaupungufu wa nguvu zakiume toa kabisa kichwani, usiogope wadada hata kama ni mzuri hana doa,sijui anatembea kama jini ananywele mpk magotini babu hao ni nyamnyam yetu uzuri wao ndio uimara ya kudinda kwetu tafuna kabisa nothing to worry!! not worry but care about your fucking health!.

ukipata mchumba wakumdinya usifanye papara tafuta eneo tulivu,kaaeni mpige stori,mchezeane yani hakikisha haupo eneo la hofu ktk namna yoyote!. sasa wewe kajichanganye kanunue malaya likuharakishe kufanya litakupa hofu zaidi! kama utakuwa na hofu sana tafuta ka konyagi kadogo kalambe,narudia kadogo sasa wewe kanywe likubwa ukaue dada wa watu hiyo konyagi nikwaajili yakukutoa hofu tu awali baada ya hapo achana na pombe kama haunywi achana nazo.
Wazee Mpo siriazi na Ngono kiasi hiki...
All in all kapata pa kuanzia kijana wetu
 
Unataka udindishe kama kifaru ili ufaidike na nini!? BORO ndii ndiii ndiiii ndiiiii

Achana na kudindisha, jikite na mambo mengine kama biashara, kilimo n.k

Shida yako ilianza pale ulipoanza kufikiri una shida ya kudindisha, ndipo tatizo lilipoanzia.

Tatizo haliwi tatizo mpaka ulitengeneze kichwani.

Kwanzia sasa hivi anza kujifikiria kwamba wewe ni KIBOLO DINDA, kitombiwise, BOLO NGA NGA NGA, utaona hata BORO lenyewe litaanza kuitikia WITO na KUDINDA IPASAVYO.

Ukiwaza wewe ni hanithi, rojorojo, bolo legevu, DUME PUNGA, hapo sasa BORO lako lazima lisinyae kweli kweli....!!

Shida sio BORO, shida ni kichwa chako.

BORO linaanzia kudinda kichwani halafu ndio linamalizia kwenye ABDALA KICHWA WAZI.

MDINDO UNAANZIA KWENYE BICHWA LAKO, so clear your mind and stop thinking about nonsense.

Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake cocastic
Mtoa mada kama hujamuelewa
Unataka udindishe kama kifaru ili ufaidike na nini!? BORO ndii ndiii ndiiii ndiiiii

Achana na kudindisha, jikite na mambo mengine kama biashara, kilimo n.k

Shida yako ilianza pale ulipoanza kufikiri una shida ya kudindisha, ndipo tatizo lilipoanzia.

Tatizo haliwi tatizo mpaka ulitengeneze kichwani.

Kuanzia sasa hivi anza kujifikiria kwamba wewe ni KIBOLO DINDA, kitombiwise, BORO NGA NGA NGA, utaona hata BORO lenyewe litaanza kuitikia WITO na KUDINDA IPASAVYO.

Ukiwaza wewe ni hanithi, rojorojo, bolo legevu, DUME PUNGA, hapo sasa BORO lako lazima lisinyae kweli kweli....!!

Shida sio BORO, shida ni kichwa chako.

BORO linaanzia kudinda kichwani halafu ndio linamalizia kwenye ABDALA KICHWA WAZI.

MDINDO UNAANZIA KWENYE BICHWA LAKO, so clear your mind and stop thinking about nonsense.

Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake cocastic
Mtoa mada kama hujamuelewa our Hon. BICHWA KOMWE - mtaalamu kabisa wa mambo haya ndio basi tena. Naomba uzi ufungwe😁
 
Unataka udindishe kama kifaru ili ufaidike na nini!? BORO ndii ndiii ndiiii ndiiiii

Achana na kudindisha, jikite na mambo mengine kama biashara, kilimo n.k

Shida yako ilianza pale ulipoanza kufikiri una shida ya kudindisha, ndipo tatizo lilipoanzia.

Tatizo haliwi tatizo mpaka ulitengeneze kichwani.

Kuanzia sasa hivi anza kujifikiria kwamba wewe ni KIBOLO DINDA, kitombiwise, BORO NGA NGA NGA, utaona hata BORO lenyewe litaanza kuitikia WITO na KUDINDA IPASAVYO.

Ukiwaza wewe ni hanithi, rojorojo, bolo legevu, DUME PUNGA, hapo sasa BORO lako lazima lisinyae kweli kweli....!!

Shida sio BORO, shida ni kichwa chako.

BORO linaanzia kudinda kichwani halafu ndio linamalizia kwenye ABDALA KICHWA WAZI.

MDINDO UNAANZIA KWENYE BICHWA LAKO, so clear your mind and stop thinking about nonsense.

Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake cocastic
Alafu na BAN hupati......
😂😂😂😂😂😂

Wakati wengine tukisifia mashangazi ban chap maninaaaaa
 
Wewe huna tatizo kubwa. Acha kabisa punyeto na ngono kwa muda hata miezi miwili huku ukifanya mazoezi ya kegel. Wanaosema kula tangawizi na vyakula vingine walivyotaja wako sahihi ila changamoto kwa mwanaume ni kwenda sokoni na kujipa ratiba za kula hivyo vitu. Mazoezi ya kegel unafanyia tu chumbani kwako ili kuimarisha misuli iliyolegea. Kama hata kuacha punyeto na kufanya mazoezi utashindwa basi itabidi uolewe tu.
 
Acha ujinga wewe[emoji23][emoji23]kashtue kimoja tena
FKfl9fpXMAQcXgv.jpg
 
Habari za muda huu wanajukwaa, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina upungufu wa nguvu za kiume sababu ya kupiga punyeto.
Nilianza kupiga punyeto toka 2013 mpaka sasa ila nimeacha punyeto ni wiki 1 sasa.
Nashindwa kufanya tendo la ndoa sababu uume unakuwa umelala tu
Naomba msaada wenu wanajukwaa, ushauri na tiba.
ASANTENI
Hongera.

Umefuzu.

Utaishi miaka mingi.

Jikite kusoma vitabu na utakuwa mtu mkubwa na mwema sana.

Kila jamii ina vitu inavikuza sana. Ingawa havina maana.

Kufanya mapenzi si muhimu sana ktk hii dunia.

Kama mashine imezima pesa unayotaka kutoa ili urudishe mashine kufanya kazi wezesha vijana mtaani kwako wasio na kazi aanze biashara hata ya kuuza njugu.

Mungu kakuepusha na mtihani huu wa watu wasio na kanuni. Wanawake
 
endelea tu, ukifika 30+ utakuwa na upungufu wa pesa kabisa hapo Ndio kazi itaanza
 
Back
Top Bottom