MSAADA: Mimi ni kijana mwenye 25 nina upungufu wa nguvu za kiume

Unataka udindishe kama kifaru ili ufaidike na nini!? BORO ndii ndiii ndiiii ndiiiii

Achana na kudindisha, jikite na mambo mengine kama biashara, kilimo n.k

Shida yako ilianza pale ulipoanza kufikiri una shida ya kudindisha, ndipo tatizo lilipoanzia.

Tatizo haliwi tatizo mpaka ulitengeneze kichwani.

Kuanzia sasa hivi anza kujifikiria kwamba wewe ni KIBOLO DINDA, kitombiwise, BORO NGA NGA NGA, utaona hata BORO lenyewe litaanza kuitikia WITO na KUDINDA IPASAVYO.

Ukiwaza wewe ni hanithi, rojorojo, bolo legevu, DUME PUNGA, hapo sasa BORO lako lazima lisinyae kweli kweli....!!

Shida sio BORO, shida ni kichwa chako.

BORO linaanzia kudinda kichwani halafu ndio linamalizia kwenye ABDALA KICHWA WAZI.

MDINDO UNAANZIA KWENYE BICHWA LAKO, so clear your mind and stop thinking about nonsense.

Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake cocastic
 
Wazee Mpo siriazi na Ngono kiasi hiki...
All in all kapata pa kuanzia kijana wetu
 
Mtoa mada kama hujamuelewa
Mtoa mada kama hujamuelewa our Hon. BICHWA KOMWE - mtaalamu kabisa wa mambo haya ndio basi tena. Naomba uzi ufungwe😁
 
Alafu na BAN hupati......
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakati wengine tukisifia mashangazi ban chap maninaaaaa
 
Wewe huna tatizo kubwa. Acha kabisa punyeto na ngono kwa muda hata miezi miwili huku ukifanya mazoezi ya kegel. Wanaosema kula tangawizi na vyakula vingine walivyotaja wako sahihi ila changamoto kwa mwanaume ni kwenda sokoni na kujipa ratiba za kula hivyo vitu. Mazoezi ya kegel unafanyia tu chumbani kwako ili kuimarisha misuli iliyolegea. Kama hata kuacha punyeto na kufanya mazoezi utashindwa basi itabidi uolewe tu.
 
Hongera.

Umefuzu.

Utaishi miaka mingi.

Jikite kusoma vitabu na utakuwa mtu mkubwa na mwema sana.

Kila jamii ina vitu inavikuza sana. Ingawa havina maana.

Kufanya mapenzi si muhimu sana ktk hii dunia.

Kama mashine imezima pesa unayotaka kutoa ili urudishe mashine kufanya kazi wezesha vijana mtaani kwako wasio na kazi aanze biashara hata ya kuuza njugu.

Mungu kakuepusha na mtihani huu wa watu wasio na kanuni. Wanawake
 
endelea tu, ukifika 30+ utakuwa na upungufu wa pesa kabisa hapo Ndio kazi itaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…